You are currently viewing ALBUM MPYA YA NAVY KENZO “DREAD & LOVE” YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70

ALBUM MPYA YA NAVY KENZO “DREAD & LOVE” YAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70

Kundi la muziki wa Bongo Fleva ‘Navy Kenzo’ wanajiandaa kurudi na ujio wa album yao mpya.

Hitmakers hao wa ngoma ya Why Now wamekuwa wakifanya vizuri kupitia digital platforms mbalimbali, na sasa tuitarajie “Dread and love album” ambayo tayari imekamilika kwa asilimia 70.

Kwa mujibu wa Nahreel Kupitia insta story, amedokeza ujio wa album hiyo kwa kuandika ujumbe unaosomeka. “Dread & Love ALBUM 70% Loading”

Hii inaenda kuwa album  ya NNE kwa Navy Kenzo, baada ya Hold me back iliyotoka mwaka wa 2015, Above inna Minute mwaka ya 2017 na Story of the African Mob iliyotoka mwaka 2020.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke