You are currently viewing ALBUM YA OTILE BROWN “JUST IN LOVE” YAWEKA REKODI BOOMPLAY KENYA

ALBUM YA OTILE BROWN “JUST IN LOVE” YAWEKA REKODI BOOMPLAY KENYA

Staa wa muziki nchini, Otile Brown anaendelea kupokea upendo na support kubwa kutoka kwa mshabiki wake kiasi cha kufanya vizuri na album yake  ‘Just In Love’.

Hadi kufikia sasa katika mtandao wa boomplay album hiyo imeweza kusikilizwa  zaidi ya mara millioni 17.3 ikiwa ni takriban miaka miwili tangu itokea rasmi.

Kwa mafanakio hayo, Album ya just in love  ndio Album iliyosikilizwa zaidi kwenye mtandao wa boomplay kwa wasanii wa humu nchini.

Utakumbuka album ya just in love kutoka kwa mtu mzima otile brown iliachiwa rasmi Juni 3 mwaka wa 2020 ikiwa na jumla ya mikwaju 10 ya moto.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke