You are currently viewing AMBER RAY AKANUSHA KUTOKA KIMAPENZI NA MWALA

AMBER RAY AKANUSHA KUTOKA KIMAPENZI NA MWALA

Soshalaiti maarufu mtandaoni Amber Ray amekanusha vikali kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji maarufu nchini Mwala

Kupitia youtube channel yake ameeleza kuwa amechoshwa kuzushiwa taarifa za uongo mitandaoni ambapo amesema hapendi kuhusishwa na Mwala kwani hana ukaribu wowote naye.

” No, I have never had anything sexual. We are not even friends. He had come to my house and taken a photo with Gavin.

I took pictures with Otile and Ali Kiba sop I don’t know why they chose to say that am dating Mwala.” Amesema.

Kauli yake imekuja mara baada ya walimwengu kudai kuwa Mwala amekuwa akifadhili maisha yake ya kifahari kufuatia hatua ya muigizaji huyo kuchapisha picha mtandaoni akiwa na mtoto wa Amber Ray aitwaye Gavin.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke