You are currently viewing BEBE COOL AWAPA SOMO WASANII NCHINI UGANDA

BEBE COOL AWAPA SOMO WASANII NCHINI UGANDA

Msanii mkongwe kwenye nchini Uganda Bebe Cool  ni moja kati ya wasanii ambao wamekuwa kwenye tasnia ya muziki nchini humo kwa muda mrefu.

Bosi huyo wa Gagamel amekuwa na muendelezo mzuri wa kuachia kazi ambayo imemfanya kuwa gemu kwa miongo mitatu bila kuchuja.

Sasa akiwa kwenye moja ya Interview Bebe Cool amewshauri wasanii wachanga kuepuka kutegemea kolabo kama kweli wanataka kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu.

Kulingana na hitmaker huyo wa Gyenvudde mashabiki wa muziki husahau haraka kolabo ikilinganishwa na nyimbo ambazo wasanii wanatoa kama wasanii wa kujitegemea.

Ikumbukwe Bebe Cool ana zaidi ya nyimbo 400 ikiwemo Kolabo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke