You are currently viewing CARDI B ATANGAZA KUACHIA RASMI ALBUM YAKE MWAKA WA 2022

CARDI B ATANGAZA KUACHIA RASMI ALBUM YAKE MWAKA WA 2022

Rapa Cardi B kutoka Marekani ameendelea kuwa mtu wa ahadi kwa mashabiki wa muziki wake juu ya ujio wa album yake mpya baada ya miaka mitatu sasa.

Jana kupitia Instagram LIVE, Cardi B amesema watu watarajie album mpya wakati wowote kuanzia mwaka 2022.

Sababu kuu ya kuchelewa kuachiwa kwa album hiyo ni muda, Cardi B amedai kwamba amekuwa na muda finyu ukizingatia kwa sasa ana watoto wawili.

Invasion of Privacy ya mwaka 2018 ndio album pekee ambayo Cardi B amewabariki mashabiki zake tangu atie mguu kwenye muziki.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke