Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article B Classic akiri kutamani penzi la mwanasholaiti maarufu mtandaoni Shakilla

B Classic akiri kutamani penzi la mwanasholaiti maarufu mtandaoni Shakilla

  • Post published:January 17, 2023

Msanii B Classic ameweka wazi matamanio ya kumchumbia mrembo maarufu mtandaoni nchini Kenya Shakilla kwa kigezo kuwa lazima awe mlokole. Kupitia instastoy yake amesema yuko tayari kuingia kwenye mahusiano na…

Continue ReadingB Classic akiri kutamani penzi la mwanasholaiti maarufu mtandaoni Shakilla
Read more about the article Arnelisa aanika hadharani meseji za Ben Pol

Arnelisa aanika hadharani meseji za Ben Pol

  • Post published:January 15, 2023

Mwanadada mjasiriamali kutoka nchini Kenya, Anerlisa ameamua kuweka wazi mapungufu ya Ben Pol, ameachia meseji za msanii huyo wa Bongofleva ambazo alikuwa akimtumia kupitia WhatsApp tangu mwishoni mwa mwaka jana.…

Continue ReadingArnelisa aanika hadharani meseji za Ben Pol
Read more about the article Jini mkata kamba aingilia ndoa ya Kylie Jenner na Travis Scott

Jini mkata kamba aingilia ndoa ya Kylie Jenner na Travis Scott

  • Post published:January 8, 2023

Kylie Jenner na Travis Scott wameachana tena, chanzo cha karibu na wawili hao kimeripoti kwamba hata msimu huu wa Sikukuu wamesherehekea kila mmoja kivyake. Hii inakuwa mara ya pili kwa…

Continue ReadingJini mkata kamba aingilia ndoa ya Kylie Jenner na Travis Scott
Read more about the article Mwanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja nchini Kenya akiri kuua kisa usaliti

Mwanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja nchini Kenya akiri kuua kisa usaliti

  • Post published:January 8, 2023

Mwanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja (LGBTG) Nchini Jackson Odhiambo amekiri kumuua mpenzi na mume wake Edwin Chiloba kwa madai ya kumsaliti kimapenzi. Wawili hao walikuwa wanaishi pamoja kama mke…

Continue ReadingMwanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja nchini Kenya akiri kuua kisa usaliti
Read more about the article Zari ajisifu kwa Urembo Uganda

Zari ajisifu kwa Urembo Uganda

  • Post published:December 20, 2022

Kuelekea event yake ya Zari All White Party inayotarajiwa kufanyika wikiendi hii Kampala, Uganda, Zari The Bosslady ametoa neno. Zari ambaye amezaa na Staa wa Bongofleva Diamond Platnumz watoto wawili,…

Continue ReadingZari ajisifu kwa Urembo Uganda
Read more about the article Prodyuza Magix Enga azua gumzo mtandaoni baada ya kuonekana akiwa mlevi kupindukia

Prodyuza Magix Enga azua gumzo mtandaoni baada ya kuonekana akiwa mlevi kupindukia

  • Post published:December 20, 2022

Video ya mtayarishaji muziki nchini Kenya Magix enga akiwa katika hali mbaya imesambaa mitandaoni. Katika video hiyo, prodyuza huyo anaonekana akiwa amekaa chini ya mti katika mavazi yaliyochanika huku akiwa…

Continue ReadingProdyuza Magix Enga azua gumzo mtandaoni baada ya kuonekana akiwa mlevi kupindukia
Read more about the article Vera Sidika athibitisha kuwa mjamzito

Vera Sidika athibitisha kuwa mjamzito

  • Post published:December 19, 2022

Mrembo maarufu nchini Kenya, Vera Sidika ni mjamzito kwa mara nyingine ikiwa ni siku chache zimepata tangu tetesi  zilipoibuka mtandaoni kuwa amekuwa akificha tumbo lake mbele ya camera. Kupitia ukurasa…

Continue ReadingVera Sidika athibitisha kuwa mjamzito
Read more about the article Corazon Kwamboka kushtaki duka la jumla nchini Uganda kwa kutumia picha zake bila idhini

Corazon Kwamboka kushtaki duka la jumla nchini Uganda kwa kutumia picha zake bila idhini

  • Post published:December 17, 2022

Sosholaiti  maarufu mtandaoni Corazon Kwamboka amedai kuwa atachukua hatua kali za kisheria dhidi ya duka la moja la jumla nchini Uganda ambalo lilitumia picha zake bila ridhaa yake. Duka hilo…

Continue ReadingCorazon Kwamboka kushtaki duka la jumla nchini Uganda kwa kutumia picha zake bila idhini
Read more about the article Pritty Vishy na Tiktoker Becky Akinyi wadaiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja

Pritty Vishy na Tiktoker Becky Akinyi wadaiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja

  • Post published:December 13, 2022

Mtengeneza maudhui nchini Kenya Pritty Vishy na Tiktoker Becky Akinyi wamewaacha mashabiki wakijiuliza maswali iwapo wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi. Hii ni baada ya video kusambaa mtandaoni ikimuonesha Pritty Vishy…

Continue ReadingPritty Vishy na Tiktoker Becky Akinyi wadaiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja
Read more about the article Zari anyosha maelezo ishu ya kushindana na Zuchu kumteka kimapenzi Diamond Platnumz. 

Zari anyosha maelezo ishu ya kushindana na Zuchu kumteka kimapenzi Diamond Platnumz. 

  • Post published:December 12, 2022

Mrembo maarufu wa Uganda, Zari The Bosslady ameonyesha kuchukizwa na habari za uongo kuhusu kile kinachodaiwa yupo katika mashindano na Zuchu ili kuunasa moyo wa Diamond Platnumz. Kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingZari anyosha maelezo ishu ya kushindana na Zuchu kumteka kimapenzi Diamond Platnumz. 
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • …
  • 23
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved