Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Mwimbaji wa Bongofleva  Phina ajiunga rasmi na kampuni, Ziiki Media.

Mwimbaji wa Bongofleva  Phina ajiunga rasmi na kampuni, Ziiki Media.

  • Post published:January 26, 2023

Mwimbaji wa Bongofleva  ‘Phina’ amejiunga rasmi na kampuni kubwa ya usambazaji muziki barani Africa, Ziiki Media. Kwenye uzinduzi rasmi uliofanyika jijini Johannesburg nchini South Afrika, Phina amesema anajisikia mwenye furaha…

Continue ReadingMwimbaji wa Bongofleva  Phina ajiunga rasmi na kampuni, Ziiki Media.
Read more about the article Savara wa Sauti Sol atamani kufanya kazi na Rapa wa Marekani Meek Mill

Savara wa Sauti Sol atamani kufanya kazi na Rapa wa Marekani Meek Mill

  • Post published:January 24, 2023

Mwimbaji wa Sauti Sol Savara Mudigi ametia nia ya kufanya kazi ya pamoja na rapa Meek Mill. Kauli yake imekuja mara baada ya rapa huyo kutoka nchini Marekani kutoa tangazo…

Continue ReadingSavara wa Sauti Sol atamani kufanya kazi na Rapa wa Marekani Meek Mill
Read more about the article Stevo Simple Boy amfuta kazi meneja wake kwa tuhuma za wizi na usaliti

Stevo Simple Boy amfuta kazi meneja wake kwa tuhuma za wizi na usaliti

  • Post published:December 30, 2022

Msanii Stevo Simple Boy amemtimua meneja wake mmoja kwenye uongozi wake wa Men In Business baada ya sakata la kukosa kutumbuiza kwenye shoo ya SolFire Fiesta huko Mombasa. Kupitia video…

Continue ReadingStevo Simple Boy amfuta kazi meneja wake kwa tuhuma za wizi na usaliti
Read more about the article Morocco yafuzu hatua ya mtoani Kombe la Dunia

Morocco yafuzu hatua ya mtoani Kombe la Dunia

  • Post published:December 2, 2022

Wawakilishi wengine wa Afrika kwenye michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea Qatar, Timu ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo baada ya kupata ushindi…

Continue ReadingMorocco yafuzu hatua ya mtoani Kombe la Dunia
Read more about the article Usalama wa Eddy Kenzo waimarishwa- Asema Promota Balaam Barugahara

Usalama wa Eddy Kenzo waimarishwa- Asema Promota Balaam Barugahara

  • Post published:November 19, 2022

Promota Balaam Barugahara amethibitisha kuwa usalama wa mwanamuziki Eddy Kenzo umeimarishwa baada ya kutishiwa maisha na watu wasiojulikana. Kwenye mahojiano yake, promota huyo amesema njama ya wanaopanga kumtoa uhai Kenzo…

Continue ReadingUsalama wa Eddy Kenzo waimarishwa- Asema Promota Balaam Barugahara
Read more about the article Rufftone afunguka sababu za kumchumbi mke wake kwa zaidi ya miaka 8

Rufftone afunguka sababu za kumchumbi mke wake kwa zaidi ya miaka 8

  • Post published:November 11, 2022

Msaniii mkongwe kwenye muziki nchini Rufftone amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu hatua ya kumchumbia mke wake Crystal kwa zaidi ya miaka 8. Kwenye mahojiano na Plug TV rufftone amesema…

Continue ReadingRufftone afunguka sababu za kumchumbi mke wake kwa zaidi ya miaka 8
Read more about the article Mwanamuziki kutoka Nigeria Ayra Starr afikisha zaidi ya streams millioni 100 Boomplay

Mwanamuziki kutoka Nigeria Ayra Starr afikisha zaidi ya streams millioni 100 Boomplay

  • Post published:October 29, 2022

Mwimbaji nyota wa muziki wa kizazi kipya toka lebo ya Mavin Records nchini Nigeria, msanii Ayra Starr mwenye umri wa miaka 20, amejiunga rasmi na Golden Club ya Boomplay. Hatua…

Continue ReadingMwanamuziki kutoka Nigeria Ayra Starr afikisha zaidi ya streams millioni 100 Boomplay
Read more about the article Noti Flow awataka mashabiki kumuombea Ex wake King Alami baada ya kujirusha kutoka kwa jumba la ghorofa tano

Noti Flow awataka mashabiki kumuombea Ex wake King Alami baada ya kujirusha kutoka kwa jumba la ghorofa tano

  • Post published:October 22, 2022

Rapa Noti Flow ametoa wito kwa mashabiki zake kumuweka kwa maombi mpenzi wake wa zamani King Alami baada ya kudaiwa kuwa alijiangusha kutoka kwa jumba la ghorofa tano katika barabara…

Continue ReadingNoti Flow awataka mashabiki kumuombea Ex wake King Alami baada ya kujirusha kutoka kwa jumba la ghorofa tano
Read more about the article Ringtone afunguka sababu za kuwaponda Willy Paul na Bahati

Ringtone afunguka sababu za kuwaponda Willy Paul na Bahati

  • Post published:October 16, 2022

Hitmaker wa Ombi Langu, Ringtone Apoko amefunguka sababu ya kuwakosoa wasanii Willy Paul na Bahati kila mara kwenye majukwaa mbali mbali. Kwenye mahojiano yake hivi karibuni amesema wawili hao walimvunjia…

Continue ReadingRingtone afunguka sababu za kuwaponda Willy Paul na Bahati
Read more about the article Kendrick Lamar ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa  Hiphop kwenye BET Hip-Hop Awards 2022

Kendrick Lamar ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Hiphop kwenye BET Hip-Hop Awards 2022

  • Post published:October 5, 2022

Rapa Kendrick Lamar ameibuka mshindi wa kipengele cha Hip-Hop Artist Of The Year kwenye Tuzo za BET Hip-Hop 2022 ambazo zinatolewa usiku wa kuamki leo nchini Marekani. Kendrick Lamar pia…

Continue ReadingKendrick Lamar ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Hiphop kwenye BET Hip-Hop Awards 2022
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved