Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Klabu mbili Saudi Arabia zaingia vitani kusaka saini yaLeo Messi

Klabu mbili Saudi Arabia zaingia vitani kusaka saini yaLeo Messi

  • Post published:January 16, 2023

Klabu mbili nchini Saudi Arabia zimeingia vitani kusaka saini ya mshambuliaji wa PSG, Leo Messi huku wakiweka dau nono mezani litakalomzidi, Cristiano Ronaldo wa Al Nassir. Timu hizo mbili Al-Hilal…

Continue ReadingKlabu mbili Saudi Arabia zaingia vitani kusaka saini yaLeo Messi
Read more about the article PREMIER LEAGUE: Man United yaipa kipigo Man City

PREMIER LEAGUE: Man United yaipa kipigo Man City

  • Post published:January 14, 2023

Klabu ya Manchester United imeibuka mshindi katika Derby ya Manchester iliyochezwa leo huko jijini Manchester dhidi ya Manchester City. Klabu hiyo imeibuka na ushindi wa mabao mawili (78 Bruno Fernandes,82…

Continue ReadingPREMIER LEAGUE: Man United yaipa kipigo Man City
Read more about the article Mmiliki wa Klabu ya Chelsea Todd Boehly ajiuzulu

Mmiliki wa Klabu ya Chelsea Todd Boehly ajiuzulu

  • Post published:January 11, 2023

Mmiliki wa Klabu ya Chelsea Todd Boehly ameripotiwa kujiuzulu wadhifa aliokuwa ameshikilia kikaimu kama msimamizi wa kutambua na kusajili wachezaji wapya katika timu hiyo. Mwaka jana baada ya kuinunua timu…

Continue ReadingMmiliki wa Klabu ya Chelsea Todd Boehly ajiuzulu
Read more about the article Aliyekuwa mchezaji wa PSG Modeste M’bami afariki dunia

Aliyekuwa mchezaji wa PSG Modeste M’bami afariki dunia

  • Post published:January 9, 2023

Kiungo wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon na klabu ya PSG, Modeste M'bami amefariki siku ya Jumamosi akiwa na umri wa miaka 40 baada ya kupata mshtuko wa…

Continue ReadingAliyekuwa mchezaji wa PSG Modeste M’bami afariki dunia
Read more about the article Pep Guardiola akataa ofa ya kuifundisha Brazil

Pep Guardiola akataa ofa ya kuifundisha Brazil

  • Post published:January 8, 2023

Pep Guardiola amekataa ofa ya kuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Brazil kwaajili ya michuano ya Kombe la Dunia 2026. Ripoti zinadai kuwa Legend wa Brazil, Ronaldo amefanya…

Continue ReadingPep Guardiola akataa ofa ya kuifundisha Brazil
Read more about the article Vincent Aboubakar avunjiwa mkataba Al Nassrna kisa Ronaldo

Vincent Aboubakar avunjiwa mkataba Al Nassrna kisa Ronaldo

  • Post published:January 8, 2023

Klabu ya Al Nassr imevunja mkataba na mshambuliaji Vincent Aboubakar kwa makubaliano ya pande zote mbili ili kutoa nafasi moja ya mchezaji wa kigeni kwa ajili ya kumsajili Cristiano Ronaldo.…

Continue ReadingVincent Aboubakar avunjiwa mkataba Al Nassrna kisa Ronaldo
Read more about the article Djokovic afuzu fainali Australia

Djokovic afuzu fainali Australia

  • Post published:January 8, 2023

Nyota Novak Djokovic anataraji kupambana na Mmarekani Sebastian Korda kwenye mchezo wa fainali ya shindano la tenisi la Adelaide International itakayochezwa mnamo Jumapili ya Januari 08-2023 nchini Australia Djokovic amefuzu…

Continue ReadingDjokovic afuzu fainali Australia
Read more about the article Cape Verde yaupa uwanja jina la Pele

Cape Verde yaupa uwanja jina la Pele

  • Post published:January 6, 2023

Serikali ya Cape Verde imekuwa nchi ya kwanza ulimwenguni kuupa uwanja wake wa Taifa jina la gwiji wa soka ulimwenguni, Pele, kama ambavyo Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA),…

Continue ReadingCape Verde yaupa uwanja jina la Pele
Read more about the article Ronaldo aukataa ukubwa ndani ya Al Nassr

Ronaldo aukataa ukubwa ndani ya Al Nassr

  • Post published:January 5, 2023

 Rais wa Klabu ya Al Nassr, Musalli Al Muammar amesema kuwa staa wa timu hiyo Cristiano Ronaldo ameomba atendewe sawa na wachezaji wenzake ndani ya kikosi, asipendelewe. "Wakati wa makubaliano,…

Continue ReadingRonaldo aukataa ukubwa ndani ya Al Nassr
Read more about the article Cristiano Ronaldo atambulishwa na Klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia

Cristiano Ronaldo atambulishwa na Klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia

  • Post published:January 4, 2023

Staa wa Soka wa Ureno Cristiano Ronaldo amepokewa rasmi na ametambulishwa mbele ya mashabiki wa Club ya Al Nassr ya Saudi Arabia. Ronaldo aliyejiunga na Al Nassr kama Mchezaji huru…

Continue ReadingCristiano Ronaldo atambulishwa na Klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • …
  • 9
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved