Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article YOUTUBE YAWEKA UWEZO WA KUFICHA DISLIKES.

YOUTUBE YAWEKA UWEZO WA KUFICHA DISLIKES.

  • Post published:November 12, 2021

Siku ya jana, YouTube imetangaza katika ukurasa wake wa News & Events, kuwa inaweka mabadiliko mapya ya kuficha jumla ya “Dislikes” katika video. Kwa kawaida, watazamaji wanaweza ku-Like au Dislike…

Continue ReadingYOUTUBE YAWEKA UWEZO WA KUFICHA DISLIKES.
Read more about the article SPOTIFY KUWEKA UWEZO WA KUWA-BLOCK WATU

SPOTIFY KUWEKA UWEZO WA KUWA-BLOCK WATU

  • Post published:November 12, 2021

App ya Spotify kwa mara ya kwanza itaweka sehemu ya ku-block marafiki na watumiaji wa kawaida ambao sio wasanii. Spotify ilikuwa haijaweka sehemu ya ku-block mtu asiweze kuona unasikiliza nini…

Continue ReadingSPOTIFY KUWEKA UWEZO WA KUWA-BLOCK WATU
Read more about the article TWITTER YAWEKA UWEZO WA KUREKODI TWITTER SPACE

TWITTER YAWEKA UWEZO WA KUREKODI TWITTER SPACE

  • Post published:October 31, 2021

App ya Twitter imeweka sehemu mpya ya kurekodi mijadala ya Live-Audio (Twitter Spaces). Wasikilizaji watakuwa na uwezo wa kusikiliza Twitter Space baada ya Live-Audio kuisha. Twitter imesema itahifadhi file kwa…

Continue ReadingTWITTER YAWEKA UWEZO WA KUREKODI TWITTER SPACE
Read more about the article KAMPUNI YA FACEBOOK YABADILISHA JINA RASMI

KAMPUNI YA FACEBOOK YABADILISHA JINA RASMI

  • Post published:October 29, 2021

Kampuni ya Facebook hatimaye ameamua kubadili jina la mtandao wa kijamii wa Facebook na kuwa META. Akizungumza kwenye mkutano wa kila mwaka wa kampuni hiyo, Annual Connect Conference Afisa Mtendaji…

Continue ReadingKAMPUNI YA FACEBOOK YABADILISHA JINA RASMI
Read more about the article MOTOROLA YATAMBULISHA TEKNOLOJIA YAKE MPYA YA “SPACE CHARGING”

MOTOROLA YATAMBULISHA TEKNOLOJIA YAKE MPYA YA “SPACE CHARGING”

  • Post published:October 25, 2021

Motorola imetambulisha teknolojia yake mpya ya “Space Charging” ambayo ipo katika kifaa ambacho kinaweza kuchaji simu nne kwa pamoja katika umbali wa mita tatu. Charging system mpya ya Motorola ina…

Continue ReadingMOTOROLA YATAMBULISHA TEKNOLOJIA YAKE MPYA YA “SPACE CHARGING”
Read more about the article “CRYPTO” WALLET MPYA YA FACEBOOK YAANZA KUFANYA KAZI

“CRYPTO” WALLET MPYA YA FACEBOOK YAANZA KUFANYA KAZI

  • Post published:October 23, 2021

Baada ya Facebook kusumbuliwa na fedha ya kidigitali ya Libra, iliamua kuipa jina la “Diem” na kuwekeza katika kutengeneza Wallet ya Novi ambayo itatumika kutuma na kupokea fedha na itaunganishwa…

Continue Reading“CRYPTO” WALLET MPYA YA FACEBOOK YAANZA KUFANYA KAZI
Read more about the article INSTAGRAM KUWEKA SEHEMU YA KUPOST KATIKA TOVUTI YAKE

INSTAGRAM KUWEKA SEHEMU YA KUPOST KATIKA TOVUTI YAKE

  • Post published:October 21, 2021

Mtandao wa Instagram unatarajiwa kuweka uwezo wa kupost kwa kutumia tovuti ya Instagram katika kompyuta. Watumiaji wa kompyuta watakuwa na uwezo wa ku-upload videos na picha katika akaunti za Instagram…

Continue ReadingINSTAGRAM KUWEKA SEHEMU YA KUPOST KATIKA TOVUTI YAKE
Read more about the article KAMPUNI YA FACEBOOK KUBADILI JINA LA BRAND YAKE

KAMPUNI YA FACEBOOK KUBADILI JINA LA BRAND YAKE

  • Post published:October 20, 2021

Baada ya miaka 17 ya kuwepo kwa brand kubwa ya mitandao ya kijamii; Facebook inapanga kubadilisha brand na jina lake mwisho wa mwezi huu. Tetesi zilizovuja mtandaoni zinasema kwamba Mark…

Continue ReadingKAMPUNI YA FACEBOOK KUBADILI JINA LA BRAND YAKE
Read more about the article TWITTER KUWEKA MATANGAZO KATIKA SEHEMU YA REPLIES

TWITTER KUWEKA MATANGAZO KATIKA SEHEMU YA REPLIES

  • Post published:October 16, 2021

Mtandao wa Twitter umeanza majaribio ya kuweka matangazo katika sehemu ya Replies/comments. Ni style mpya ya kuonyesha matangazo katikati ya comments/replies. Inaonekana matangazo yataonekana sana katika Tweets za watu maarufu…

Continue ReadingTWITTER KUWEKA MATANGAZO KATIKA SEHEMU YA REPLIES
Read more about the article INSTAGRAM KULETA FEATURE MAALUM YA KUTOA TAARIFA ZA MATATIZO YA KIUFUNDI YANAYOJITEKEZA

INSTAGRAM KULETA FEATURE MAALUM YA KUTOA TAARIFA ZA MATATIZO YA KIUFUNDI YANAYOJITEKEZA

  • Post published:October 13, 2021

Kufuatia taharuki ambayo imekuwa ikijitokeza kwa watumiaji pale ambapo mtandao wa Instagram unakuwa umekumbwa na matatizo ya kiufundi, sasa mtandao huo umeanza majaribio ya 'feature' mpya ambayo itakuwa ikitoa taarifa…

Continue ReadingINSTAGRAM KULETA FEATURE MAALUM YA KUTOA TAARIFA ZA MATATIZO YA KIUFUNDI YANAYOJITEKEZA
  • Go to the previous page
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved