You are currently viewing CINDY SANYU AJITAPA NA UTAJIRI WAKE “MIMI KUFULIA? WATASUBIRI!

CINDY SANYU AJITAPA NA UTAJIRI WAKE “MIMI KUFULIA? WATASUBIRI!

Mwanamuziki kutoka Uganda  Cindy Sanyu amewajibu baadhi ya watu wanaodai kuwa anawania urais wa chama cha wanamuziki nchini humo kwa ajili ya kupata pesa.

Katika kikao na wanahabari Cindy amesema ana utajiri mkubwa ambao aliupata kipindi anafanya kazi na makampuni mbali mbali.

Hitmaker huyo wa ngoma ya “Local Man” amesema lengo lake kuwania urais wa chama cha uma ni kuboresha tasnia ya muziki kwa faida ya vizazi vijavyo.

Hata hivyo amesema hajawahi pokea mshahara wowote tangu akuwe rais wa chama cha wanamuziki nchini Uganda.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke