You are currently viewing Daddy Owen akanusha kutoka kimapenzi na shabiki yake

Daddy Owen akanusha kutoka kimapenzi na shabiki yake

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Daddy Owen amekanusha madai ya kutoka kimapenzi na rafiki wake wa karibu Eve Maina.

Kupitia instastory yake amesema hana uhusiano wowote wa kimapenzi na mrembo huyo huku akisema ukaribu wao ni wa kirafiki.

Msanii huyo ambaye kipindi cha nyuma alitangaza kuwa anatafuta mke,amesema hatokuja kuweka wazi mahusiano yake kwa umma mtandaoni.

“Hapo sijui, but ata kama nitaoa tena I would wish for something very very private,”Aliandika

Kauli ya Daddy Owen inakuja mara baada ya shabiki kumuuliza kama anachumbiana na mrembo huyo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke