You are currently viewing Gravity Omutujju kuacha muziki wa Hiphop

Gravity Omutujju kuacha muziki wa Hiphop

Rapa kutoka nchini Uganda Gravity Omutujju anafikiria kuacha kabisa kufanya muziki wa Hiphop na kuhamia kwenye muziki wa RnB..

Kwenye mahojiano yake hivi karibuni Hitmaker huyo wa “Enyama” amesema anabadilisha aina ya muziki wake kutokana na muziki wa Hiphop kukosa ushindani nchini Uganda.

“I am tired of rap. I want to try RnB. I have no competition in the rap game and it is now boring,” alisema Gravity Omutujju

Kauli yake imekuja mara baada ya kutamba kuwa mwanamuziki bora nchini Uganda kuliko Jose Chameleone, Bobi Wine na Bebe Cool kufuatia hatua ya kuujaza ukumbi wa Cricket Oval, Lugogo kwa mara ya nne mfululizo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke