You are currently viewing H. BABA AMWAGIA SIFA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KULAMBA UBALOZI WASAFI BET

H. BABA AMWAGIA SIFA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KULAMBA UBALOZI WASAFI BET

Mwanamuziki wa Bongofleva H.Baba ameweka wazi kulipwa kiasi kikubwa cha fedha na Diamond Platnumz kuwa balozi wa kampuni yake ya michezo ya kubashiri ya wasafi bet.

Baba, ametumia Instagram page yake kutoa pongezi na shukrani kwa msanii huyo na uongozi mzima wa WCB, ambao awali alionekana kuwarushia maneno makali mtandaoni kwa ajili ya kumsapoti mwanamuziki Harmonize.

Katika hatua nyinngine H. Baba ameweka wazi kuhusu kumuandalia Diamond Platnumz tuzo yake binafsi kama ambavyo amekuwa akifanya kwa Harmonize.

H.Baba ametangaza kuwa shabiki rasmi wa WCB Wasafi huku akiwaomba radhi mashabiki wa lebo hiyo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke