You are currently viewing HARMONIZE AISIMAMISHA TWITTER,JINA LAKE LIPO NAMBA 1 KWENYE TRENDING TANZANIA

HARMONIZE AISIMAMISHA TWITTER,JINA LAKE LIPO NAMBA 1 KWENYE TRENDING TANZANIA

Mkali wa muziki wa Bongofleva Harmonize ameitawala Twitter kwa upande wa Tanzania, staa huyo wa muziki wa bongo fleva ameusimamisha mtandao huo wa Kijamii kwa Jina lake kukaa namba 1 kwenye orodha ya ‘Topics’ ambazo zinazungumzwa zaidi kwenye mtandao huo nchini Tanzania.

Hadi sasa mtandao huo unaonesha jina la harmonize limeongelewa kwenye zaidi ya Tweets 5,893 ikiwa ni masaa 24 tu tangu afunguke mazito kuhusu menejimenti yake ya zamani (WCB) pamoja na msanii diamond platnumz

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke