You are currently viewing HARMONIZE ATANGAZA JINA LA BRAND YAKE YA SIGARA

HARMONIZE ATANGAZA JINA LA BRAND YAKE YA SIGARA

Msanii nyota wa Bongofleva Harmonize ametangaza rasmi bidhaa yake ya Sigara iitwayo “Tembo Cigarette”.

Kupitia Instagram yake Harmonize ameomba wadau kuwekeza pesa lakini pia washirika wa Kibiashara wajitokeze kwa ajili ya kuisukuma biashara hiyo.

Ikumbukwe boss huyo wa Konde Gang tarehe 5 mwezi huu kupitia insta story yake aliweka wazi kwa mara ya kwanza kuwa amepata wazo la kuanzisha chapa (brand) yake mwenyewe ya Sigara na yuko tayari kuwekeza katika biashara hiyo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke