You are currently viewing HARMONIZE ATANGAZA KUACHIA WA WIMBO WA GOSPEL LEO

HARMONIZE ATANGAZA KUACHIA WA WIMBO WA GOSPEL LEO

CEO wa record label ya KondeGang Harmonize ametangaza rasmi ujio wa remix ya wimbo wa dini  uitwao “Omoyo” kutoka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Tanzania Jane Misso

Hitmaker huyo wa ngoma ya “Outside” amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kumchana mwimbaji wa nyimbo za injili Goodluck Gozbert kwa tafsiri ya kutomzungumzia vizuri juu ya matamanio yake ya kufanya muziki huo wa injili.

Mbali na hayo Harmonize ambaye ni muumini wa dini ya kiislam ameeleza kuwa yeye ni bado ni muumini wa dini ya kiislamu na ataendelea kuwa na upendo kwa watu wa dini zote bila kujali utofauti wa imani zao.

 

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke