You are currently viewing HARMONIZE AWAJIBU WANAOMU-DISS KWA KUTOBOA PUA

HARMONIZE AWAJIBU WANAOMU-DISS KWA KUTOBOA PUA

Staa wa Muziki wa Bongofleva Harmonize ameamua kuwajibu wanaomkosoa baada ya Kuonekana akiwa ametoboa pua na kuweka kipini puani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Harmonize amesema hafanyi hivyo kwa ajili ya kufanana na Wamarekani Weusi , Bali kuwakilisha Tamaduni za Kabila lake la Makonde.

Hatua ya Harmonize kutoboa pua’ yake inakuja siku chache baada ya kuonekana akiwa amevalia sketi jambo liloteka mazungumzo mtandaoni.

Wanamuziki wengine waliowahi kutoboa pua na kuvaa kipini nchini Tanzania ni pamoja na Diamond, Damian Sol na Chidi Beenz.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke