You are currently viewing Japan yafanya maajabu Kombe la Dunia 2022

Japan yafanya maajabu Kombe la Dunia 2022

Timu ya Taifa ya Japan imefanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya michuano ya kombe la Dunia baada ya kuitandika Uhispania 2-1 katika mchezo wa mwisho wa kundi E

Ushindi huo umeifanya Japan kumaliza wakiwa vinara kwenye kundi hilo lililokuwa na vigogo vya Uhispania na Ujerumani waliopewa nafasi kubwa zaidi.

Ujerumani licha ya kuibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Costa Rica wamefungashiwa virago kwenye michuano hiyo kwa kumaliza wa tatu kwenye kundi E

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke