You are currently viewing JOVIAL AKIRI KUTOMSAMEHE MWANAUME ANAYEMKIMBIA MKE WAKE AKIWA MJA MZITO

JOVIAL AKIRI KUTOMSAMEHE MWANAUME ANAYEMKIMBIA MKE WAKE AKIWA MJA MZITO

Female singer kutoka Kenya Jovial amefunguka na kudai kwamba hatokuja kumsamehe mwanaume yeyote anayemtelekeza mwanamke akiwa mja mzito kwani ujauzito ni kama ugonjwa.

Kupitia Whatsapp Story yake Hitmaker huyo wa ngoma ya “Pita Nawe” ameandika ujumbe unaosomeka “Siwezi msamehe mwanaume anayemtelekeza mwanamke mjamzito mimba ni kama ungojwa asikuambie mtu unahitaji upendo wote mshukuru Mungu “

Kauli yake Jovial imekuja mara baada ya chapisho la mwanamke mmoja kusambaa mtandaoni akieleeza namna alivyotelekezwa na mpenzi wake akiwa mjamzito na baada ya kupata usaidizi kutoka kwa mwanaume mwingine,mpenzi wake wa zamani sasa anataka warudiane tena ikiwa ni miaka mitano tangu amkimbie.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke