You are currently viewing Kanye West ampatia Kim Kardashian nyumba baada ya mchakato wa talaka kukamilika

Kanye West ampatia Kim Kardashian nyumba baada ya mchakato wa talaka kukamilika

Rapa Kanye West amelazimika kumpatia Kim Kardashian nyumba ambayo aliinunua mwaka jana, ikiwa ni sehemu ya makubaliano yao ya Talaka ambayo yamefikia mwisho.

Rapa huyo kutoka Marekani atahamisha umiliki wa nyumba hiyo kutoka kwenye jina lake kwenda kwa Kim.

YE alinunua Jumba hilo Desemba 2021 kwa ($4.5 million) zaidi ya KSh. Milioni 551 likiwa pembeni ya makazi ya Kim Kardashian eneo la Hidden Hills ambapo alifanya hivyo kwa lengo la kuwa karibu na familia yake baada ya kuachana na mkewe.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke