You are currently viewing KANYE WEST AVUNJA MKATABA NA GAP

KANYE WEST AVUNJA MKATABA NA GAP

Rapa Kanye West amefikia uamuzi wa kuvunja mkataba wake na kampuni ya GAP baada ya miaka miwili.

YE ameandika barua ya kuvunja mkataba huo kufuatia madai kwamba GAP wameshindwa kutimiza makubaliano ya mkataba wao ambayo walitakiwa kufungua maduka ya Yeezy na kuachia bidhaa za mavazi.

Mwaka 2020 Kanye West alisaini mkataba huo wa ushirikiano wa kibiashara na kampuni ya GAP ambao ulikuwa wa miaka 10.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke