You are currently viewing KANYE WEST KWENYE HUBA ZITO NA MREMBO KUTOKA AFRIKA KUSINI

KANYE WEST KWENYE HUBA ZITO NA MREMBO KUTOKA AFRIKA KUSINI

Rapa Kanye West ameripotiwa kuwa penzini na mrembo Candice Swanepoel kutoka Afrika Kusini.

Wawili hao walionekana pamoja kwenye maonesho ya New York Fashion Week wakiwa kwenye huba zito.

Kwa mujibu wa TMZ, YE na Candice walionekana wakicheka na kufurahi pamoja na mchekeshaji Chris Rock huku wakipiga picha na baadaye walipanda gari moja na kuelekea hotelini.

Hata hivyo mtandao wa Page Six umeripoti kwamba inaweza kuwa hawana uhusiano wa kimapenzi bali ni kiki tu za ku-promote miwani za Yeezy ambazo mrembo huyo ni sura ya bidhaa hizo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke