You are currently viewing Kendrick Lamar atumia sura za J Cole, Future na King James kwenye show yake

Kendrick Lamar atumia sura za J Cole, Future na King James kwenye show yake

Rapa Kendrick Lamar ameendeleza ubunifu wake wa kutumia sura za watu mbalimbali kwenye mwili mmoja ‘Deepfake’ katika kufikisha ujumbe anaoutaka.

Kama alivyofanya katika wimbo wake wa “The heart part 5” uliopo kwenye album yake ya “Mr Morale & the Big Steppers” ambapo alitumia sura za watu mbalimbali maarufu kama Kanye West, Will Smith na Nipsey Hussle.

Rapa huyo ametumia ubunifu huo katika kutambulisha ngoma yake ya “Saviour” kwenye tamasha lililofanyika Paris wiki hii ambapo ametumia sura ya J Cole, Future pamoja na Lebron James.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke