You are currently viewing KRG THE DON AFUNGUKA KUTUMIA SHILLINGI MILLIONI 4.8 KWA KARO YA  WATOTO WAKE

KRG THE DON AFUNGUKA KUTUMIA SHILLINGI MILLIONI 4.8 KWA KARO YA WATOTO WAKE

Msanii KRG The Don ameweka wazi kiasi cha pesa ambacho anatumia kuwalipia watoto wake karo kwenye shule moja ya kifahari jijini Nairobi.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha radio nchini KRG amesema huwa anatumia shillingi millioni 4.8 karo ya watoto wake kwa mwaka.

Hitmaker huyo wa “Wano” amesema mtoto wake wa kwanza huwa analipa shillingi laki 7, wapili laki 6 huku watatu akiwa analipa laki 3.

KRG ambaye anatajwa kuwa na utajiri wa kati ya shillingi billioni 6 na 8 za kenya amedokeza kuwa mtoto wake mwingine yupo mbioni kujiunga na shule ambapo ameahidi kuweka wazi karo yake ambayo ametaja itakuwa maelfu ya fedha.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke