You are currently viewing KUNDI LA BTS KUTOKA KOREA KUSINI KUPATA MAFUNZO YA KIJESHI MWAKA HUU

KUNDI LA BTS KUTOKA KOREA KUSINI KUPATA MAFUNZO YA KIJESHI MWAKA HUU

Members wa kundi maarufu la muziki duniani BTS maarufu kama Bangtan Boys kutoka Korean kusini kwa pamoja wanatarajiwa kujiunga na jeshi la nchi yao kupata mafunzo katika kipindi cha miezi 18 kama katiba na sheria ya nchi yao inavyo sema.

Kundi hilo maarufu duniani linaloundwa na wanamuziki 7′ kwa pamoja wanatarajiwa kupata mafunzo hayo ndani ya mwaka huu 2022 ambayo ni ya lazima kwa kijana yoyote mwenye umri kati ya miaka 18 mpaka 27 aneyeishi korea kusini.

Utakumbuka mwaka 2020 mchezaji nyota wa klabu ya Tottenham Hotspur ya ligi kuu nchini Uingereza Son Heungmin aliweza kushiriki mafunzo hayo na kupatiwa cheti na tuzo maalumu kuhitimu mafunzo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke