You are currently viewing LIL BABY NA CHRIS BROWN MBIONI KUJA NA TAMASHA LIITWALO ONE OF THEM ONES

LIL BABY NA CHRIS BROWN MBIONI KUJA NA TAMASHA LIITWALO ONE OF THEM ONES

Wasanii kutoka marekani Chris Brown na Lil Baby wametangaza kuja na ziara ya pamoja ambayo wameipa jina la “One Of Them Ones”.

Ziara hiyo itapita kwenye miji 27 nchini Marekani na imepangwa kuanza Julai 15 na kumalizika Agosti 27 mwaka huu.

Kwa upande wa Chris Brown, ziara hii inakuja huku kukiwa na tetesi za ujio wa Album yake mpya iitwayo “Breezy” ambapo tayari ameachia mkwaju mmoja uitao ‘WE (Warm Embrace)’ na hajafanya ziara tangu mwaka 2019 alipofanya Indigo Tour.

Kwa Lil Baby vile vile naye anatarajiwa kuachia Album mpya kwani tayari amedondosha ngoma mbili; ambazo ni  “Right On” na “In a Minute.”

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke