You are currently viewing Meja Kunta afunguka sababu za kuwa na urafiki mkubwa na wachezaji wa soka

Meja Kunta afunguka sababu za kuwa na urafiki mkubwa na wachezaji wa soka

Msanii wa singeli nchini Tanzania Meja Kunta amefunguka sababu za kuwa na urafiki mkubwa na wachezaji wa mpira wa miguu kuliko wasanii wenzie.

Akijibu swali la shabiki yake kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema watu wa mpira wako bize na mishe zao ila wasanii akikaa nao sana ni wanafi ki.

Katika hatua nyingine ameweka wazi kuwa kwa sasa hayupo kwenye uhusiano wa kimapenzi na aliyekuwa mpenzi wake Cappuccino Tunda

Ikumbukwe meja kunta na Cappuccino Tunda walikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi hadi kufikia hatua ya kuvalishana pete ya uchumba.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke