You are currently viewing Mwanamuziki kutoka Kenya Hopekid ajizawadi gari mpya aina ya Mercedes Benz

Mwanamuziki kutoka Kenya Hopekid ajizawadi gari mpya aina ya Mercedes Benz

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Hopekid ameamua kutumia ipasavyo pesa ambazo anazitolea jasho

Hii ni baada ya kujizawadi gari aina Mercedes Benz kutokana na mafanikio ambayo ameyapata kupitia muziki wake.

Kupitia ukurasa wake instagram amechapisha picha ya gari yake mpya na kusindikiza na ujumbe unaosomeka “Allow me to celebrate my small wins with you ☺️😊☺️ let me bless ur TL with my brand new merc.”

Hata hivyo mashabiki pamoja na mastaa wenzake wamempongeza kwa mafanikio hayo huku wakimtakia kila la heri katika siku za mbeleni.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke