You are currently viewing Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria, Sammie Okposo afariki dunia

Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria, Sammie Okposo afariki dunia

Mwanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili kutoka nchini Nigeria, Sammie Okposo amefariki dunia.

Kulingana na ripoti, Okposo mwenye umri wa miaka 51 alianguka na kufariki Ijumaa asubuhi.

Kifo chake ” kinakuja miezi kadhaa baada ya kukumbwa na kashfa ya uzinzi.

Mwimbaji huyo wa ‘Wellu Wellu’, katika ukurasa  wa Instagram, aliwataka Wanigeria kumuombea.

Alikiri kudanganya mke wake aliposafiri kwenda Marekani mwishoni mwa 2021.

Sammie Okposo pia alisimamisha huduma yake  hadi atakapopata kibali tena huku akiomba msamaha kutoka kwa Mungu.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke