You are currently viewing Nadia Mukami atangaza kuja na jambo lake kubwa mwezi Desemba

Nadia Mukami atangaza kuja na jambo lake kubwa mwezi Desemba

Hitmaker wa Maombi, msanii Nadia Mukami ametangaza kuwa ana jambo lake kubwa la kufungia mwaka.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema mwezi Desemba mwaka huu ana shughuli ambayo atazindua kwa ajili ya mashabiki zake.

“Launching Something this December,” Aliandika insta-story

Hata hivyo haijajulikana ni nini hasa msanii huyo atazindua ila wajuzi wa mambo kwenye mitandao ya kijamii wamehoji huenda ni mipango ya kuachia Album yake mpya ambayo juzi kati alitusanua kuwa itaingia sokoni mapema mwaka 2023.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke