You are currently viewing OTILE BROWN ASIFIA UWEZO WA HARMONIZE KWENYE NGOMA YAO YA KWANZA

OTILE BROWN ASIFIA UWEZO WA HARMONIZE KWENYE NGOMA YAO YA KWANZA

Mkali wa muziki nchini Otile Brown amesifia uwezo wa msanii wa Bongofleva Harmonize katika verse ya wimbo wao wa pamoja waliofanya kwa mara ya kwanza.

Otile Brown ametumia insta story yake kwenye mtandao wa Instagram  kuelezea hilo, ambapo amesema Harmonize amefanya vizuri katika ngoma hiyo huku akieleza fahari yake kwa mashabiki wa Tanzania na Kenya ambao watakua tayari kusikia kazi hiyo.

Hivi karibuni Harmonize  akiwa nchini katika ziara yake ya kimuziki alitangaza wazi kuja na ‘EP’ itakayo kuwa na nyimbo 5 za pamoja kati yake na Otile Brown.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke