You are currently viewing PITSON NA MKE WAKE MBIONI KUPATA MTOTO WATATU

PITSON NA MKE WAKE MBIONI KUPATA MTOTO WATATU

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Pitson na mkewe wake Caroline Nyokabi wametangaza kuwa wanatarajia kumpata mtoto wao wa tatu hivi karibuni.

Pitson ameweka wazi taarifa hiyo njema kwa mashabiki zake kupitia ukurasa wake Instagram alipochapisha picha akiwa na mke wake ambaye ni mja mzito na kusindikiza na caption inayosomeka “Tangazo, tangazo!, Praise God with us”

Hitmaker huyo wa ngoma ya “Lingala ya Yesu” tayari amebarikiwa kuwapata watoto wawili pamoja na mke wake Caroline Muthoni ambao Havilah Geitherer na Taji.

Pitson anakuwa msanii wa hivi punde kujiunga kwenye orodha ya mastaa ambao tayari wametangaza kuwa wanatarajia kupata watoto hivi karibuni

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke