You are currently viewing RAPPER NAY WA MITEGO AWATOLEA UVIVU WATUMISHI WA MUNGU MASANJA MKANDAMIZAJI,MC PILI PILI NA NABII SHILLA

RAPPER NAY WA MITEGO AWATOLEA UVIVU WATUMISHI WA MUNGU MASANJA MKANDAMIZAJI,MC PILI PILI NA NABII SHILLA

Rapa mwenye utata nchini Tanzania Nay wa Mitego amewashutumu watumishi wa Mungu Masanja Mkandamizaji, Mc Pilipili na Nabii Shilla kuwa ni manabii wa uongo ambao kwenye vitabu vya dini wameandikwa.

Kupitia Instastory yake kweny mtandao wa Instagram Nay wa Mitego ameandika  ujumbe unaosomeka “Mimi ndio maana sitakagu aya mambo ya Dini sijui nini.Yani Din imekuwa biashara hulia, eti Masanja Nae Mchungaji kuna mwingine yule tapeli Shilla sijui pumbavu kabisa. Huu ndio ule mwisho wa dunia ulioandikwa kwenye vitabu. Manabii wa uongo wamekuwa wengi mno”.

Masanja na Mc Pilipili ni kati ya wachungaji waliotokea kwenye tasnia ya uchekeshaji na baadae kutangaza kumtumia Mungu kwa kufungua makanisa yao

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke