You are currently viewing RAPPER YOUNG THUG KUTOKA MAREKANI KUSAIDIA WAAFRIKA UKRAINE

RAPPER YOUNG THUG KUTOKA MAREKANI KUSAIDIA WAAFRIKA UKRAINE

Rapa Kutoka  Nchini Marekani Young Thug ameonesha kuwa na moyo wa uhuruma baada ya kuguswa na kitendo cha Watu weusi nchini Ukraine kuachwa vitani huku wazungu wakisafirishwa sehemu salama zaidi.

Kitendo hicho cha kibaguzi kimemgusa Rapa Young Thug ambaye amejitokeza na kusema kuwa yupo tayari kutoa msaadakwa Waafrika waliokwama kuondoka Ukraine kipindi hichi cha vita na Urusi.

Hata hivyo amewaomba marapa wengine kushirikiana kufanikisha hilo huku akizitaka familia za waafrika waliokwama nchini Ukraine kumcheki kwa kuwa taratibu za kuondoka nchini humo kwa sasa ni ngumu.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke