You are currently viewing RAYVANNY ATAJWA NA JARIDA MAARUFU LA FORBES

RAYVANNY ATAJWA NA JARIDA MAARUFU LA FORBES

Mwanamuziki na C.E.O wa record label ya Next Level Music Rayvanny ametajwa na mtandao maarufu wa Forbes Africa katika orodha ya wanamuziki 20 kutoka barani Africa wanaotabiriwa kufanya vizuri katika muziki wa Afrika (future of the african music).

Rayvanny ametajwa kwenye orodha hiyo sambamba na wasanii wengine wakubwa afrika kama Diamond Platnumz Burnaboy, Davido, Wizkid, Angelina Kidjo, Black Cofee, Tiwa Savage na wengine.

Orodha hii ya Forbes imetaja kuzingatia uwakilishi na uhusika wa wasanii husika katika matamasha na tuzo kubwa za muziki kama Grammy.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke