You are currently viewing RINGTONE AMTOLEA UVIVU SIZE 8,ADAI HANA UWEZO WA KUMTOA MTU MAPEPO

RINGTONE AMTOLEA UVIVU SIZE 8,ADAI HANA UWEZO WA KUMTOA MTU MAPEPO

Msanii wa nyimbo za injili nchini Ringtone amemchana msanii mwenzake Size 8 kwa kitendo cha kujaribu kumtoa  mapepo muumimi moja wiki moja iliyopita.

Katika mahojiano yake na Presenter Ali, Ringtone amesema Size 8 hana uwezo kuwaomba wakristo hadi kuwatoa mapepo huku akisema kwamba msanii huyo anatumia njia hiyo kujitafutia umaarufu.

Kauli hiyo imekuja wiki moja baada ya video ya Size 8 akimuombea muumini moja kanisani kusambaa mtandaoni jambo ambalo lilizua mjadala mzito miongoni mwa wa kenya wengi wakidai kuwa msanii huyo ana uwezo wa kumtoa mtu mapepo.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke