You are currently viewing SIMI AFIKISHA STREAM MILLIONI MOJA BOOMPLAY

SIMI AFIKISHA STREAM MILLIONI MOJA BOOMPLAY

Mwimbaji nyota wa muziki toka nchini Nigeria, simi ambaye bado anaendelea kufanya vizuri na album yake mpya na ya tano iitwayo “To Be Honest” yenye mwezi mmoja tangu itoke, amejiunga rasmi na Golden Club ya Boomplay.

Hatua hiyo kubwa kwa Simi inakuja baada ya streams zake zote za Boomplay kufika Milioni 100+ (100,000,000). Simi anakuwa msanii wa kwanza mwanamke kugonga streams hizo.

Aidha, simi anajiunga na wasanii wengine wanaotesa katika anga la muziki kutoka Nigeria, ambao pia tayari wamefikisha idadi ya streams Milioni 100+ katika Boomplay, kama vile Davido, Wizkid, Burna Boy, Fireboy DML, Omah Lay, na Joeboy.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke