Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article AROMA AJIUNGA NA LEBO TEAM NO SLEEP

AROMA AJIUNGA NA LEBO TEAM NO SLEEP

  • Post published:July 12, 2022

Msanii kutoka Uganda Aroma alipata umaarufu kwenye muziki wake kupitia wimbo uitwao Yoola ambao aliwashirikisha wasanii wa B2c Boys. Tangu wakati huo amekuwa akiachia magoma makali ambayo yanazidi kufanya vizuri…

Continue ReadingAROMA AJIUNGA NA LEBO TEAM NO SLEEP
Read more about the article AROMA ATISHIA KUWAANIKA HADHARANI WASANII WANAOHUJUMU MUZIKI NCHINI UGANDA

AROMA ATISHIA KUWAANIKA HADHARANI WASANII WANAOHUJUMU MUZIKI NCHINI UGANDA

  • Post published:February 14, 2022

Mwanamuziki kutoka nchini Uganda Aroma hana furaha kabisa na baadhi ya wasanii  nchini humo ambao wanalipa vyombo vya habari kuhujumu muziki wake. Katika mahojiano na Runinga ya NBS Aroma amesema…

Continue ReadingAROMA ATISHIA KUWAANIKA HADHARANI WASANII WANAOHUJUMU MUZIKI NCHINI UGANDA
Read more about the article AROMA ATOA POVU ZITO KWA MASTAA WAKUBWA UGANDA, ADAI WANAUA VIPAJI

AROMA ATOA POVU ZITO KWA MASTAA WAKUBWA UGANDA, ADAI WANAUA VIPAJI

  • Post published:October 21, 2021

Msanii wa kike kutoka nchini Uganda Aroma amesikitishwa na namna wasanii wakubwa nchini humo wanaendesha tasnia ya muziki. Akiwa kwenye moja ya interview Aroma amedai kwamba mastaa wengi nchini uganda…

Continue ReadingAROMA ATOA POVU ZITO KWA MASTAA WAKUBWA UGANDA, ADAI WANAUA VIPAJI
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved