Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

  • Post published:January 28, 2023

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi yake mpya na msanii wa BongoFleva Harmonize. Kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingBahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize
Read more about the article Diana B ashindwa kuficha hisia zake kwa mume wake Bahati

Diana B ashindwa kuficha hisia zake kwa mume wake Bahati

  • Post published:December 28, 2022

Mwanamitandao aliyegeukia muziki nchini Diana B ameamua kuwapa somo wanawake wa Kenya jinsi ya kuwaonyesha upendo wapenzi zao. Mama huyo wa watoto watatu ameshea video hii kwenye ukurasa wake wa…

Continue ReadingDiana B ashindwa kuficha hisia zake kwa mume wake Bahati
Read more about the article Weezdom akiri kupatwa na msongo wa mawazo kisa Bahati

Weezdom akiri kupatwa na msongo wa mawazo kisa Bahati

  • Post published:December 28, 2022

Msanii Weezdom amefunguka kupatwa na msongo wa mawazo baada ya kuachana na aliyekuwa bosi wake chini ya label ya EMB Records, Bahati. Kwenye mahojiano na Podcast ya EMM, amesema tangu…

Continue ReadingWeezdom akiri kupatwa na msongo wa mawazo kisa Bahati
Read more about the article Bahati akoshwa na wimbo wa Dullah Makabila, “Pita Huku”

Bahati akoshwa na wimbo wa Dullah Makabila, “Pita Huku”

  • Post published:December 22, 2022

Mwimbaji nyota wa muziki toka Kenya, Bahati ameonyesha kukoshwa na ubunifu alioutumia staa wa Singeli nchini, msanii Dulla Makabila kwenye video ya wimbo wake mpya Pita Huku ulioibua mijadala juu ya mengi kufuatia yaliyo zungumziwa…

Continue ReadingBahati akoshwa na wimbo wa Dullah Makabila, “Pita Huku”
Read more about the article Bahati adai wakosoaji wake mtandaoni wanampa nguvu ya kutia bidii kimuziki

Bahati adai wakosoaji wake mtandaoni wanampa nguvu ya kutia bidii kimuziki

  • Post published:December 10, 2022

Mwanamuziki kutoka Kenya Bahati amedai kwamba hana muda wa kuwajibu wanaomkosoa mtandaoni. Hitmaker huyo wa Adhiambo amewaambia watesi wake kuwa chuki anayoipata kwenye mitandao ya kijamii inampa changamoto ya kutia…

Continue ReadingBahati adai wakosoaji wake mtandaoni wanampa nguvu ya kutia bidii kimuziki
Read more about the article Bahati apewa tuzo ya heshima Youtube

Bahati apewa tuzo ya heshima Youtube

  • Post published:December 9, 2022

Staa wa muziki nchini Bahati ametunukiwa tuzo ya Golden Plaque na mtandao wa Youtube baada ya kufikisha jumla ya subscribers millioni moja kwenye channel yake. Bahati ametumia ukurasa wake wa…

Continue ReadingBahati apewa tuzo ya heshima Youtube
Read more about the article Bahati athibitisha kufanya kolabo na Nick Minaj

Bahati athibitisha kufanya kolabo na Nick Minaj

  • Post published:December 4, 2022

Mwanamuziki wa Kenya Bahati amethibitisha kufanya kazi ya pamoja na Rapa kutoka Marekani Nicki Minaj. Bahati ameweka taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram akifichua kuwa wataachia rasmi wimbo wao…

Continue ReadingBahati athibitisha kufanya kolabo na Nick Minaj
Read more about the article Bahati kufunga ndoa Novemba 30 mwaka huu

Bahati kufunga ndoa Novemba 30 mwaka huu

  • Post published:November 27, 2022

Mwanamuziki kutoka nchini Kenya Bahati ameashiria kufunga pingu za maisha na mama ya watoto wake Diana B mwishoni mwa mwezi huu. Bahati amedokeza hayo kwa picha ya kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingBahati kufunga ndoa Novemba 30 mwaka huu
Read more about the article Diana B anyosha maelezo kuhusu video iliyosambaa mtandaoni akikiri kutoka kimapenzi na wanaume wengi

Diana B anyosha maelezo kuhusu video iliyosambaa mtandaoni akikiri kutoka kimapenzi na wanaume wengi

  • Post published:November 18, 2022

Msaniii na  mwanamitandao maarufu kutoka Kenya Diana Marua amefunguka juu ya video iliyosambaa mtandaoni akikiri kuwa alitembea na wanaume wengi kimapenzi kwa ajili ya kukidhi mahitaji yake ya msingi. Kupitia…

Continue ReadingDiana B anyosha maelezo kuhusu video iliyosambaa mtandaoni akikiri kutoka kimapenzi na wanaume wengi
Read more about the article Diana B azua gumzo mtandaoni baada ya video yake akikiri kutoka kimapenzi na wanaume tofauti kusambaa

Diana B azua gumzo mtandaoni baada ya video yake akikiri kutoka kimapenzi na wanaume tofauti kusambaa

  • Post published:November 17, 2022

Watumiaji wa mitandao ya kijamii wametoa maoni mbali kuhusu video ya Diana Marua akiri hadharani kutoka kimapenzi na wanaume tofauti kwa ajili ya pesa. Diana alichapisha video hiyo mwaka 2020…

Continue ReadingDiana B azua gumzo mtandaoni baada ya video yake akikiri kutoka kimapenzi na wanaume tofauti kusambaa
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved