Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Burna Boy atajwa tena kutumbuiza Coachella mwaka 2023

Burna Boy atajwa tena kutumbuiza Coachella mwaka 2023

  • Post published:January 12, 2023

Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy ametajwa tena kutumbuiza kwenye tamasha kubwa la Muziki nchini Marekani Coachella mwaka 2023. Burna Boy ametajwa kwenye orodha ya wasanii ambao watatumbuiza Aprili…

Continue ReadingBurna Boy atajwa tena kutumbuiza Coachella mwaka 2023
Read more about the article Burna Boy awaomba radhi mashabiki

Burna Boy awaomba radhi mashabiki

  • Post published:January 3, 2023

Staa wa muziki nchini Nigeria Burna Boy amewaomba radhi mashabiki zake hii ni baada ya kuchelewa kupanda jukwaani kwenye show yake huko Lagos. Burna Boy amefunguka kuwa haikuwa dhamira yake…

Continue ReadingBurna Boy awaomba radhi mashabiki
Read more about the article Burna boy atangaza kufanya onesho katika uwanja wa London.

Burna boy atangaza kufanya onesho katika uwanja wa London.

  • Post published:November 22, 2022

Staa wa muziki kutoka Nigeria Burna Boy anaenda kuandika historia nyingine kwenye Muziki wake, ametangaza kuwa atafanya onesho kwenye uwanja wa (London Stadium) uliopo nchini Uingereza, Juni 3 mwaka 2023.…

Continue ReadingBurna boy atangaza kufanya onesho katika uwanja wa London.
Read more about the article Wasanii wa Nigeria Tems na Burna Boy watajwa kuwania Grammy 2023

Wasanii wa Nigeria Tems na Burna Boy watajwa kuwania Grammy 2023

  • Post published:November 16, 2022

Wasanii wa muziki kutokea nchini Nigeria, Burna Boy na Tems wametajwa kuwania vipengele viwili kila mmoja katika Tuzo za Grammy 2022. Burna Boy ametajwa kwenye vipengele viwili, "Best Global Music…

Continue ReadingWasanii wa Nigeria Tems na Burna Boy watajwa kuwania Grammy 2023
Read more about the article Burna Boy ashinda tuzo ya Msanii Bora MTV Europe Music Awards 2022

Burna Boy ashinda tuzo ya Msanii Bora MTV Europe Music Awards 2022

  • Post published:November 15, 2022

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Burna Boy ameshinda tuzo ya MTV Europe Music Awards (MTV EMA) 2022 kama Best African Act. Hiyo ni baada ya kuwabwaga Tems na Ayra Star, wote…

Continue ReadingBurna Boy ashinda tuzo ya Msanii Bora MTV Europe Music Awards 2022
Read more about the article Dr. Ofweneke apata kigugumizi baada ya kuitishwa millioni 70 kumleta Burna Boy Kenya

Dr. Ofweneke apata kigugumizi baada ya kuitishwa millioni 70 kumleta Burna Boy Kenya

  • Post published:October 19, 2022

Mchekeshaji Dr. Ofweneke ameshangazwa na kiasi cha pesa alichotakiwa kulipa kwa ajili ya kumleta Burna Boy kutumbuiza nchini Kenya. Kupitia ukurasa wa Instagram Ofweneke amesema uongozi wa Burna Boy kupitia…

Continue ReadingDr. Ofweneke apata kigugumizi baada ya kuitishwa millioni 70 kumleta Burna Boy Kenya
Read more about the article STEFFLON DON AKIRI BURNA BOY KUMUIMBIA WIMBO WA LAST LAST

STEFFLON DON AKIRI BURNA BOY KUMUIMBIA WIMBO WA LAST LAST

  • Post published:September 17, 2022

Mwimbaji Stefflon Don anaamini Burna Boy alimuimba kwenye wimbo wake maarufu “Last Last” ambao ulitoka Mei mwaka huu. Kwenye mahojiano na TT Torrez, Stefflon amesema alikuwa penzini na Burna Boy…

Continue ReadingSTEFFLON DON AKIRI BURNA BOY KUMUIMBIA WIMBO WA LAST LAST
Read more about the article BURNA BOY AWATOLEA UVIVU MASHABIKI WA WIZKID KISA KUPONDA MAFANIKIO YA ALBUM YAKE

BURNA BOY AWATOLEA UVIVU MASHABIKI WA WIZKID KISA KUPONDA MAFANIKIO YA ALBUM YAKE

  • Post published:September 9, 2022

Msanii kutoka Nigeria Burna Boy ameendelea kurushiana maneno na mashabiki wa Wizkid, kupitia mtandao wa Twitter ameshambuliana nao tena hadi kutishia kumpiga Wizkid. Burna Boy alijikuta akiingia kwenye vita hiyo…

Continue ReadingBURNA BOY AWATOLEA UVIVU MASHABIKI WA WIZKID KISA KUPONDA MAFANIKIO YA ALBUM YAKE
Read more about the article BURNA BOY AWATOLEA UVUVI MASHABIKI WA WIZKID KWA KUMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO

BURNA BOY AWATOLEA UVUVI MASHABIKI WA WIZKID KWA KUMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO

  • Post published:August 25, 2022

Kumeibuka vita kati ya Burna Boy na mashabiki wa WizKid (Wizkid FC) kwenye mtandao wa Twitter. Burna Boy amewatupia vijembe kwamba wamekuwa wakimzushia vitu vya kijinga na kumtengenezea stori ambazo…

Continue ReadingBURNA BOY AWATOLEA UVUVI MASHABIKI WA WIZKID KWA KUMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO
Read more about the article LOVE DAMINI YA BURNA BOY YAWEKA REKODI BOOMPLAY

LOVE DAMINI YA BURNA BOY YAWEKA REKODI BOOMPLAY

  • Post published:August 20, 2022

Mwanamuziki kutoka Nigeria Burna Boy anaendelea kufanya vizuri kupitia album yake mpya na ya sita katika muziki wake iitwayo "Love, Damini" ambayo ilitoka rasmi Julai 8 mwaka huu. Habari njema…

Continue ReadingLOVE DAMINI YA BURNA BOY YAWEKA REKODI BOOMPLAY
  • 1
  • 2
  • 3
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved