Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Daddy Andre afunguka madai ya kuharibu wimbo wa Fred Sebata

Daddy Andre afunguka madai ya kuharibu wimbo wa Fred Sebata

  • Post published:January 8, 2023

Msanii kutoka nchini Uganda Daddy Andre amewajibu wanaodai kuwa aliharibu wimbo wa msanii mkongwe Lord Fred Sebatanoting uitwao Sam Wange. Kwenye mahojiano yake karibuni amesema alijaribu kuupa wimbo huo ladha…

Continue ReadingDaddy Andre afunguka madai ya kuharibu wimbo wa Fred Sebata
Read more about the article DADDY ANDRE ATAKA WAANDISHI WA NYIMBO NA MAPRODYUZA KUPEWA KIPAU MBELE UGANDA

DADDY ANDRE ATAKA WAANDISHI WA NYIMBO NA MAPRODYUZA KUPEWA KIPAU MBELE UGANDA

  • Post published:June 16, 2022

Msanii na Prodyuza Daddy Andre amedai kwamba maprodyuza na waandishi wa nyimbo wanachukuliwa poa nchini uganda licha ya wao kuwa nguzo muhimu kwenye tasnia ya muziki. Katika mahojiano yake hivi…

Continue ReadingDADDY ANDRE ATAKA WAANDISHI WA NYIMBO NA MAPRODYUZA KUPEWA KIPAU MBELE UGANDA
Read more about the article DADDY ANDRE ATOA ILANI KWA NINA ROZ KUKOMA KUTUMIA NYIMBO ALIZOMUANDIKIA

DADDY ANDRE ATOA ILANI KWA NINA ROZ KUKOMA KUTUMIA NYIMBO ALIZOMUANDIKIA

  • Post published:May 30, 2022

Msanii na Prodyuza kutoka Uganda Daddy Andre ametoa onyo kwa Nina Roz kukoma kutumia nyimbo  alizomuandikia kipindi wanafanya kazi pamoja kwenye shows zake. Kupitia barua ya mawikili wake Daddy Andre…

Continue ReadingDADDY ANDRE ATOA ILANI KWA NINA ROZ KUKOMA KUTUMIA NYIMBO ALIZOMUANDIKIA
Read more about the article DADDY ANDRE ATUHUMIWA KUHUSIKA KWENYE WIZI WA GARI

DADDY ANDRE ATUHUMIWA KUHUSIKA KWENYE WIZI WA GARI

  • Post published:May 24, 2022

Msanii na Prodyuza kutoka nchini Uganda Daddy Andre ametuhumiwa kumuibia gari mpenzi wake wa zamani Nina Roz. Kulingana na kesi iliyowasilishwa kwa polisi Daddy Andre alimuomba Nina Roz gari atumie…

Continue ReadingDADDY ANDRE ATUHUMIWA KUHUSIKA KWENYE WIZI WA GARI
Read more about the article DADDY ANDRE AMTEUA EMMA CARLOS KUWA MENEJA WAKE

DADDY ANDRE AMTEUA EMMA CARLOS KUWA MENEJA WAKE

  • Post published:May 18, 2022

Msanii kutoka nchini Uganda Daddy Andre amemteua meneja Emma Carlos kusimamia muziki wake upande wa shows. Daddy andrea ambaye yupo chini ya Black Market Records amechukua hatua hiyo baada ya…

Continue ReadingDADDY ANDRE AMTEUA EMMA CARLOS KUWA MENEJA WAKE
Read more about the article BLACK MARKET RECORDS YAMTAKA PRODYUZA DADDY ANDRE KUFUFUA MUZIKI WA ANGELLA KATATUMBA

BLACK MARKET RECORDS YAMTAKA PRODYUZA DADDY ANDRE KUFUFUA MUZIKI WA ANGELLA KATATUMBA

  • Post published:February 23, 2022

Angella Katatumba ni moja kati wasanii ambao wamedumu kwenye tasnia muziki nchini uganda kwa muda mrefu. Licha ya kuanza muziki miaka 15 iliyopita, mrembo huyo mwenye umri wa miaka 46…

Continue ReadingBLACK MARKET RECORDS YAMTAKA PRODYUZA DADDY ANDRE KUFUFUA MUZIKI WA ANGELLA KATATUMBA
Read more about the article DADDY ANDRE AKANA KUTOKA KIMAPENZI NA VIDEO VIXEN BOBO SHAN

DADDY ANDRE AKANA KUTOKA KIMAPENZI NA VIDEO VIXEN BOBO SHAN

  • Post published:December 27, 2021

Msanii na prodyuza wa muziki kutoka nchini Uganda Daddy Andre amekanusha uvumi unaotembea kwenye mitandao ya kijamii kuwa anatoka kimapenzi na video vixen Bobo Shan ambaye anadaiwa ana uja uzito…

Continue ReadingDADDY ANDRE AKANA KUTOKA KIMAPENZI NA VIDEO VIXEN BOBO SHAN
Read more about the article DADDY ANDREA NA ANGELLA KATATUMBA WAFUFUA TENA PENZI LAO

DADDY ANDREA NA ANGELLA KATATUMBA WAFUFUA TENA PENZI LAO

  • Post published:October 7, 2021

Wasanii Angella Katatumba na Daddy Andrea walivunja uhusiano wao mwaka wa 2020 baada andrea kudinda kufanya vipimo vya HIV.   Kwenye mahojiano mbali mbali Daddy Andrea alithibitisha kwamba hajawahi mpenda…

Continue ReadingDADDY ANDREA NA ANGELLA KATATUMBA WAFUFUA TENA PENZI LAO
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved