Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Daddy Owen akanusha kutoka kimapenzi na shabiki yake

Daddy Owen akanusha kutoka kimapenzi na shabiki yake

  • Post published:January 10, 2023

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Daddy Owen amekanusha madai ya kutoka kimapenzi na rafiki wake wa karibu Eve Maina. Kupitia instastory yake amesema hana uhusiano wowote wa kimapenzi na…

Continue ReadingDaddy Owen akanusha kutoka kimapenzi na shabiki yake
Read more about the article Daddy Owen akiri kutoshiriki tendo la ndoa kwa miaka miwili

Daddy Owen akiri kutoshiriki tendo la ndoa kwa miaka miwili

  • Post published:November 26, 2022

Mwimbaji wa nyimbo za Injili , Daddy Owen amefichua kuwa hajashiriki tendo la ndoa kwa miaka miwili. Katika mahojiano yake hivi karibuni, Owen amesema kuwa hajakuwa na hamu ya kufanya…

Continue ReadingDaddy Owen akiri kutoshiriki tendo la ndoa kwa miaka miwili
Read more about the article Daddy Owen aahirisha hafla yake ya kila mwaka ya Malaika Disability Walk.

Daddy Owen aahirisha hafla yake ya kila mwaka ya Malaika Disability Walk.

  • Post published:November 22, 2022

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Daddy Owen ameahirisha hafla yake ya kila mwaka ya Malaika Disability walk ambayo ilipangwa kufanyika tarehe 3 Desemba mwaka huu. Kupitia kurasa zake za mitandao…

Continue ReadingDaddy Owen aahirisha hafla yake ya kila mwaka ya Malaika Disability Walk.
Read more about the article Daddy akanusha madai ya kutumia vyombo vya habari kutafuta mke

Daddy akanusha madai ya kutumia vyombo vya habari kutafuta mke

  • Post published:November 11, 2022

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini daddy owen amekanusha madai yanayotembea mtandaoni kuwa anatafuta mwanamke wa kuingia naye kwenye ndoa ikiwa ni siku chache zimepita toka alipoweka wazi vigezo anavyohitaji…

Continue ReadingDaddy akanusha madai ya kutumia vyombo vya habari kutafuta mke
Read more about the article Pritty Vishy akata tamaa kwenye penzi la Daddy Owen.

Pritty Vishy akata tamaa kwenye penzi la Daddy Owen.

  • Post published:November 7, 2022

Mrembo asiyeishiwa na matukio kila leo Pritty Vishy amekata tamaa kwenye penzi la Daddy Owen ikiwa ni siku chache zimepita toka mwimbaji huyo wa injili amkatae hadharani. Mrembo huyo ambaye…

Continue ReadingPritty Vishy akata tamaa kwenye penzi la Daddy Owen.
Read more about the article DADDY OWEN AWASHAURI MASTAA KUACHA KUISHI MAISHA YA KUIGIZA MTANDAONI

DADDY OWEN AWASHAURI MASTAA KUACHA KUISHI MAISHA YA KUIGIZA MTANDAONI

  • Post published:July 13, 2022

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Daddy Owen amewashauri mastaa kurudisha mkono kwa jamii kwa kutoa misaada kwa watu wenye uhitaji. Kupitia instagram Daddy Owen amesema hatua hiyo itawapa motisha…

Continue ReadingDADDY OWEN AWASHAURI MASTAA KUACHA KUISHI MAISHA YA KUIGIZA MTANDAONI
Read more about the article DADDY OWEN AICHARUKIA JARIDA MOJA KWA KUCHAPISHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU UTAJIRI WAKE

DADDY OWEN AICHARUKIA JARIDA MOJA KWA KUCHAPISHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU UTAJIRI WAKE

  • Post published:June 14, 2022

Msanii wa nyimbo za injili Daddy Owen ameibuka na kukanusha taarifa za utajiri wake zilizoainishwa na jarida moja kuwa ana utajiri wa shilllingi millioni 938 za Kenya. Kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingDADDY OWEN AICHARUKIA JARIDA MOJA KWA KUCHAPISHA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU UTAJIRI WAKE
Read more about the article DADDY OWEN ATOA WITO KWA WAHISANI KUWASAIDIA WATOTO WENYE UGONJWA WA CLUB FOOT.

DADDY OWEN ATOA WITO KWA WAHISANI KUWASAIDIA WATOTO WENYE UGONJWA WA CLUB FOOT.

  • Post published:February 8, 2022

Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Daddy Owen ametoa wito kwa wahisani kuwasaidia watoto wenye matatizo ya ugonjwa wa  mguu kifundo kwa maana ya Club Foot. Kupitia Instagram Page Daddy…

Continue ReadingDADDY OWEN ATOA WITO KWA WAHISANI KUWASAIDIA WATOTO WENYE UGONJWA WA CLUB FOOT.
Read more about the article RUFFTONE AOMBA RADHI BAADA YA KUTOA KAULI TATA DHIDI YA DADDY OWEN

RUFFTONE AOMBA RADHI BAADA YA KUTOA KAULI TATA DHIDI YA DADDY OWEN

  • Post published:January 28, 2022

Mwimbaji wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mwaniaji wa kiti cha useneti kaunti ya Nairobi, Rufftone, amejitokeza na kuomba radhi kakake Daddy Owen na Wakenya kwa ujumla kutokana na…

Continue ReadingRUFFTONE AOMBA RADHI BAADA YA KUTOA KAULI TATA DHIDI YA DADDY OWEN
Read more about the article RUFFTONE AZUA GUMZO MTANDAONI, AIBUA TUHUMA NZITO DHIDI YA DADDY OWEN

RUFFTONE AZUA GUMZO MTANDAONI, AIBUA TUHUMA NZITO DHIDI YA DADDY OWEN

  • Post published:January 27, 2022

Mgombea wa wadhfa wa useneta kaunti ya Nairobi msanii Rufftone amezua gumzo mtandaoni mara baada kuibuia madai mazito dhidi ya kaka yake Daddy Owen. Akiwa kwenye moja ya interview Rufftone…

Continue ReadingRUFFTONE AZUA GUMZO MTANDAONI, AIBUA TUHUMA NZITO DHIDI YA DADDY OWEN
  • 1
  • 2
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved