Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Chameleone adokeza mpango wa kubuni bendi ya muziki ya familia

Chameleone adokeza mpango wa kubuni bendi ya muziki ya familia

  • Post published:January 26, 2023

Mwanamuziki kutoka nchini Uganda Jose Chameleone amefichua mpango wa kuunda bendi ya familia itakayojumuisha ndugu zake, Pallaso na Weasel. Katika mahojiano hivi karibuni, Chameleone ameeleza kuwa watatu hao bado wapo…

Continue ReadingChameleone adokeza mpango wa kubuni bendi ya muziki ya familia
Read more about the article Uongozi wa Jose Chameleone wafunguka kuhusu tuhuma za msanii huyo kumpiga Boda Boda

Uongozi wa Jose Chameleone wafunguka kuhusu tuhuma za msanii huyo kumpiga Boda Boda

  • Post published:January 21, 2023

Menejimenti ya Mwanamuziki Jose Chameleone kupitia Afisa Uhusiano wake, imetoa maelezo kuhusiana na video ambayo imetoka ikimuonesha mwimbaji huyo maarufu wa nchini Uganda akimpiga mhudumu wa boda boda. Taarifa hiyo…

Continue ReadingUongozi wa Jose Chameleone wafunguka kuhusu tuhuma za msanii huyo kumpiga Boda Boda
Read more about the article Rapa Gravitty Omutujju afufua bifu yake na Jose Chameleone

Rapa Gravitty Omutujju afufua bifu yake na Jose Chameleone

  • Post published:January 20, 2023

Rapa kutoka nchini Uganda Gravity Omutujju amefufua tena bifu yake na msanii mkongwe Jose Chameleone. Kwenye mahojiano yake hivi karibuni Omutujju amesema hana mpango kumuunga mkono Chameleone kwenye shoo yake…

Continue ReadingRapa Gravitty Omutujju afufua bifu yake na Jose Chameleone
Read more about the article King Saha amshukuru Chameleone kwa kusimama naye wakati wa matatizo

King Saha amshukuru Chameleone kwa kusimama naye wakati wa matatizo

  • Post published:January 14, 2023

Mwanamuziki King Saha ni mwingi wa shukran kwa kitendo cha Jose Chameleone kutumbuiza kwenye shows zake alizokuwa ameratibu kutoa burudani kwa mashabiki zake. King saha ambaye aliruhusiwa kuondoka katika hospitali…

Continue ReadingKing Saha amshukuru Chameleone kwa kusimama naye wakati wa matatizo
Read more about the article Niko tayari kutumbuiza katika shoo zote za King Saha hadi atakapopata nafuu- Chameleone

Niko tayari kutumbuiza katika shoo zote za King Saha hadi atakapopata nafuu- Chameleone

  • Post published:January 4, 2023

Msanii mashuhuri kutoka nchini Uganda Jose Chameleone amejitolea kujaza nafasi ya mwanamuziki King Saha katika shoo zake zote alizokuwa ameratibiwa kutumbuiza  hadi atakapopata afueni. Katika mahojiano hivi karibuni, Chameleone amesema…

Continue ReadingNiko tayari kutumbuiza katika shoo zote za King Saha hadi atakapopata nafuu- Chameleone
Read more about the article Jose Chameleone atakiwa kuzindua kampuni yake ya simu

Jose Chameleone atakiwa kuzindua kampuni yake ya simu

  • Post published:October 14, 2022

Msanii mkongwe kutoka nchini Uganda Jose Chameleone ameshauriwa kutekeleza mpango wake wa kuanzisha mradi wake kufungua kampuni ya simu iitwayo Chameleone Phones. Wito huo umetolewa na mwanahabari Douglas Lwaga ambaye…

Continue ReadingJose Chameleone atakiwa kuzindua kampuni yake ya simu
Read more about the article CHAMELEONE AANIKA SIRI ZA BOBI WINE

CHAMELEONE AANIKA SIRI ZA BOBI WINE

  • Post published:September 7, 2022

Mwanamuziki kutoka nchini Uganda Jose Chameleone amefunguka tusiyoyajua kuhusu maisha ya msanii aligeukia siasa Bobi Wine. Kwenye moja ya performance yake juzi kati, Chameleone amedai kwamba Bobi Wine hawezi tena…

Continue ReadingCHAMELEONE AANIKA SIRI ZA BOBI WINE
Read more about the article CHAMELEONE AFUNGUKA KUHUSU BIFU YAKE NA BOBI WINE

CHAMELEONE AFUNGUKA KUHUSU BIFU YAKE NA BOBI WINE

  • Post published:July 13, 2022

Msanii mkongwe nchini Uganda Jose Chameleone amefunguka uhusiano wake na Bobi Wine ambaye wamekuwa kwenye bifu kwa muda mrefu. Kwenye mahojiano yake hivi karibuni Chameleone amesema kwa sasa hana ugomvi…

Continue ReadingCHAMELEONE AFUNGUKA KUHUSU BIFU YAKE NA BOBI WINE
Read more about the article CHAMELEONE AFUNGUKA SABABU ZA KUTOWANIA URAIS UMA

CHAMELEONE AFUNGUKA SABABU ZA KUTOWANIA URAIS UMA

  • Post published:July 12, 2022

Msanii mkongwe nchini Uganda Jose Chameleone amevunja ukimya wake kuhusu kutowania urais katika chama cha wanamuziki nchini humo UMA. Katika mahojiano yake hivi karibuni Chameleone amesema ameshikika sana kwenye kazi…

Continue ReadingCHAMELEONE AFUNGUKA SABABU ZA KUTOWANIA URAIS UMA
Read more about the article CHAMELEONE NA BOBI WINE WAMALIZA TOFAUTI ZAO

CHAMELEONE NA BOBI WINE WAMALIZA TOFAUTI ZAO

  • Post published:May 20, 2022

Mastaa wa muziki kutoka Uganda Jose Chameleone na Bobi wine hatimaye wamemaliza ugomvi wao uliodumu kwa kipindi cha miaka miwili. Hii ni baada ya wawili hao kukutana kwenye hafla ya…

Continue ReadingCHAMELEONE NA BOBI WINE WAMALIZA TOFAUTI ZAO
  • 1
  • 2
  • 3
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved