Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Khaligraph Jones kuzuru Australia mwishoni mwa mwezi huu

Khaligraph Jones kuzuru Australia mwishoni mwa mwezi huu

  • Post published:January 15, 2023

Siku chache baada ya kufanya shoo yake nchini Sierra Leone, Rapa Khaligraph Jones ametangaza show nyingine ya kimataifa nchini Australia mwishoni mwa mwezi huu. Kupitia mitandao yake ya kijamii amesema…

Continue ReadingKhaligraph Jones kuzuru Australia mwishoni mwa mwezi huu
Read more about the article Khaligraph Jones aongeza gari lingine kwenye orodha ya magari yake ya kifahari

Khaligraph Jones aongeza gari lingine kwenye orodha ya magari yake ya kifahari

  • Post published:January 14, 2023

Rapa kutoka nchini Kenya Khaligraph Jones ameongeza gari lingine kwenye orodha ya magari yake ya kifahari siku chache baada kurejea nchini akitokea Sierra Leone. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameposti…

Continue ReadingKhaligraph Jones aongeza gari lingine kwenye orodha ya magari yake ya kifahari
Read more about the article Rapa Khaligraph Jones akerwa na abiria wanaotumia vyoo vya ndege kwenda haja kubwa

Rapa Khaligraph Jones akerwa na abiria wanaotumia vyoo vya ndege kwenda haja kubwa

  • Post published:December 12, 2022

Rapper Khaligraph Jones amesikitishwa na watu wanaopenda kujisaidia ndani ya vyoo vya ndege wakati wa safari za ndani ya nchi. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Papa Jones amesema sio jambo…

Continue ReadingRapa Khaligraph Jones akerwa na abiria wanaotumia vyoo vya ndege kwenda haja kubwa
Read more about the article Rapa Khaligraph Jones afunguka mpango wa kuanza kufanya muziki wa Injili

Rapa Khaligraph Jones afunguka mpango wa kuanza kufanya muziki wa Injili

  • Post published:November 8, 2022

Rapa kutoka nchini Kenya Khaligraph Jones amefunguka mpango wa kuachana muziki wa Hiphop na kuanza kuimba muziki wa injili. Kwenye mahojiano na Plug tv Khaligraph amesema kwamba amekuwa na ndoto…

Continue ReadingRapa Khaligraph Jones afunguka mpango wa kuanza kufanya muziki wa Injili
Read more about the article KHALIGRAPH JONES AANDIKA BARUA YA WAZI KWA RUTO KUPITIA WIMBO

KHALIGRAPH JONES AANDIKA BARUA YA WAZI KWA RUTO KUPITIA WIMBO

  • Post published:September 9, 2022

Rapper Brian Omollo maarufu kama Khaligraph Jones, amezua gumzo mtandaoni mara baada ya kumuandikia barua ya wazi rais mteule william ruto kupitia singo yake mpya iitwayo "Usiache Akemewe Free style"…

Continue ReadingKHALIGRAPH JONES AANDIKA BARUA YA WAZI KWA RUTO KUPITIA WIMBO
Read more about the article KHALIGRAPH JONES AFUNGUKA SABABU ZA KUTOFANYA KAZI NA WASANII WA GOSPEL

KHALIGRAPH JONES AFUNGUKA SABABU ZA KUTOFANYA KAZI NA WASANII WA GOSPEL

  • Post published:August 25, 2022

Rapa kutoka nchini Kenya Khaligraph Jones amefunguka sababu ya kutofanya kazi na wasanii wa nyimbo za injili. Katika mahojiano na Mzazi Willy M. Tuza kwenye Mambo Mseto Khaligraph Jones amesema…

Continue ReadingKHALIGRAPH JONES AFUNGUKA SABABU ZA KUTOFANYA KAZI NA WASANII WA GOSPEL
Read more about the article KHALIGRAPH JONES ATOA CHANGAMOTO KWA WASANII WAKENYA KUKUZA BRAND ZAO

KHALIGRAPH JONES ATOA CHANGAMOTO KWA WASANII WAKENYA KUKUZA BRAND ZAO

  • Post published:August 6, 2022

Rapper Khaligraph Jones amesema muziki wa Kenya ulipofika ni wakati wasanii kujitambua na kwendana na nyakati zilizopo kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu. Akizungumza na Presenter Ali hitmaker huyo…

Continue ReadingKHALIGRAPH JONES ATOA CHANGAMOTO KWA WASANII WAKENYA KUKUZA BRAND ZAO
Read more about the article MISS CASHY KUMBURUZA MAHAKAMINI KHALIGRAPH JONES KWA KUKWEPA KUTOA MATUNZO KWA MTOTO WAKE

MISS CASHY KUMBURUZA MAHAKAMINI KHALIGRAPH JONES KWA KUKWEPA KUTOA MATUNZO KWA MTOTO WAKE

  • Post published:July 19, 2022

Mama mtoto wa Khaligraph Jones, Cashy Karimi amefichua kuwa ana mpango kumshtaki rapa huyo baada ya kukataa kutoa matunzo kwa mtoto wao. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Cashy amechapisha picha…

Continue ReadingMISS CASHY KUMBURUZA MAHAKAMINI KHALIGRAPH JONES KWA KUKWEPA KUTOA MATUNZO KWA MTOTO WAKE
Read more about the article KHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WANAOISHI MAISHA YA KUIGIZA

KHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WANAOISHI MAISHA YA KUIGIZA

  • Post published:June 20, 2022

Rapa Khaligraph Jones amewachana baadhi ya wasanii wanaoishi maisha ya kuigiza yasiyokuwa na uhalisia. Katika mahojiano yake na 2mbili Papa Jones amesema ni wakati wa mastaa na watu wenye majina…

Continue ReadingKHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WANAOISHI MAISHA YA KUIGIZA
Read more about the article KHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WA GENGETONE

KHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WA GENGETONE

  • Post published:May 30, 2022

Rapa Khaligraph Jones ametoa changamoto kwa wasanii wa muziki wa Gengetone waache kulalamika juu ya kukosa usimamizi. Rapa huyo amewataka wasanii hao, kutotumia silaha ya kukosa uongozi kama chanzo cha…

Continue ReadingKHALIGRAPH JONES AWAPA SOMO WASANII WA GENGETONE
  • 1
  • 2
  • 3
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved