Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Nyota Ndogo athibitisha kulipwa pesa zake baada ya kutapeliwa

Nyota Ndogo athibitisha kulipwa pesa zake baada ya kutapeliwa

  • Post published:December 26, 2022

Msanii mkongwe nchini Nyota ndogo amethibitisha kulipwa pesa zake siku moja baada ya kudai kuporwa na watu waliotumia vyumba vya kulala katika hoteli yake na kisha kutoroka. Kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingNyota Ndogo athibitisha kulipwa pesa zake baada ya kutapeliwa
Read more about the article Nyota Ndogo aporwa maelfu ya pesa

Nyota Ndogo aporwa maelfu ya pesa

  • Post published:December 25, 2022

Msanii mkongwe kwenye muziki Nyota Ndogo amejipata akiwa kwenye huzuni mkubwa katika kipindi hiki cha sikukuu baada ya watu waliokuwa wamekodisha vyumba vya kulala katika hoteli yake kushindwa kulipia gharama…

Continue ReadingNyota Ndogo aporwa maelfu ya pesa
Read more about the article Nyota Ndogo akataa zawadi ya bei ghali kutoka kwa mume wake Henning Nielsen

Nyota Ndogo akataa zawadi ya bei ghali kutoka kwa mume wake Henning Nielsen

  • Post published:October 25, 2022

Mwanamuziki mkongwe nchini Nyota Ndogo amewashangaza mashabiki baada ya kukataa zawadi ya bei ghali kutoka kwa mpenzi wake mwenye asili ya kizungu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema hana haja…

Continue ReadingNyota Ndogo akataa zawadi ya bei ghali kutoka kwa mume wake Henning Nielsen
Read more about the article SHILOLE AUMIZWA NA MAUJI YA MAKE UP ARTIST TANZANIA

SHILOLE AUMIZWA NA MAUJI YA MAKE UP ARTIST TANZANIA

  • Post published:June 1, 2022

Msanii wa muziki na mjasiriamali nchini Tanzania Shilole amelizwa na tukio la mauaji ya mrembo maarufu wa shughuli za urembo (Make up artist) aliyeuawa kwa kupigwa risasi saba kichwani. Kupitia…

Continue ReadingSHILOLE AUMIZWA NA MAUJI YA MAKE UP ARTIST TANZANIA
Read more about the article NYOTA NDOGO AFUNGUKA SABABU ZA UKIMYA WAKE KWENYE MUZIKI

NYOTA NDOGO AFUNGUKA SABABU ZA UKIMYA WAKE KWENYE MUZIKI

  • Post published:May 9, 2022

Msanii mkongwe kwenye muziki, Nyota Ndogo ameweka wazi kwamba kwa sasa hana uwezo wa kutayarisha muziki mpya licha ya mashabiki wengi kumshawishi sana arudi studioni. Nyota Ndogo amebainisha kuwa kwa…

Continue ReadingNYOTA NDOGO AFUNGUKA SABABU ZA UKIMYA WAKE KWENYE MUZIKI
Read more about the article NYOTA NDOGO: NDOA SIO JELA, UKISHINDWA ONDOKA TU

NYOTA NDOGO: NDOA SIO JELA, UKISHINDWA ONDOKA TU

  • Post published:January 27, 2022

Msanii mkongwe kwenye tasnia ya muziki nchini Nyota Ndogo amefunguka kuhusu visa vya mauji ambavyo vimeongezeka miongoni mwa wana ndoa katika siku za hivi karibuni. Kupitia waraka mrefu aliouandika kupitia…

Continue ReadingNYOTA NDOGO: NDOA SIO JELA, UKISHINDWA ONDOKA TU
Read more about the article NYOTA NDOGO AMSHAMBULIA MWANABLOGU ALIYEMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO

NYOTA NDOGO AMSHAMBULIA MWANABLOGU ALIYEMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO

  • Post published:January 6, 2022

Msanii mkongwe kwenye muziki nchini Nyota Ndogo amechukizwa na kitendo cha mwanablogu mmoja  kuchapisha taarifa za uongo dhidi yake. Mwanablogu huyo alichapisha taarifa akisema kwamba Nyota Ndogo  alidai kwenye moja…

Continue ReadingNYOTA NDOGO AMSHAMBULIA MWANABLOGU ALIYEMZUSHIA TAARIFA ZA UONGO
Read more about the article NYOTA NDOGO AELEZA ANAVYOITWA SURA MBAYA NA WANAUME MITANDAONI

NYOTA NDOGO AELEZA ANAVYOITWA SURA MBAYA NA WANAUME MITANDAONI

  • Post published:December 22, 2021

Msanii mkongwe kwenye muziki  nchini Nyota Ndogo, amefunguka namna ambavyo amekua akishambuliwa kwa maneno ya kejeli mtandaoni na baadhi ya wanaume kwa kumuita sura mbaya. Nyota Ndogo kupitia ukurasa wake…

Continue ReadingNYOTA NDOGO AELEZA ANAVYOITWA SURA MBAYA NA WANAUME MITANDAONI
Read more about the article NYOTA NDOGO AINGIA UBIA WA KUFANYA KAZI NA KAMPUNI YA JOY MILLERS LIMITED.

NYOTA NDOGO AINGIA UBIA WA KUFANYA KAZI NA KAMPUNI YA JOY MILLERS LIMITED.

  • Post published:October 19, 2021

Staa wa muziki nchini Nyota Ndogo amelamba dili nono la kuwa balozi wa unga wa ugali wa Raha Premium. Nyota Ndogo ametengaza habari hiyo njema kwa mashabiki zake kupitia ukurasa…

Continue ReadingNYOTA NDOGO AINGIA UBIA WA KUFANYA KAZI NA KAMPUNI YA JOY MILLERS LIMITED.
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved