Skip to content

Urban Spice

  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
  • Home
  • Entertainment
  • Sports
  • Technology
  • Contact
Read more about the article Tanasha Donna awapa somo mashabiki juu ya usafi

Tanasha Donna awapa somo mashabiki juu ya usafi

  • Post published:January 23, 2023

Mwimbaji wa muziki kutoka nchini Kenya, Tanasha Donna amesistiza usafi kwa wanaume na wanawake. Tanasha amesema kwa mtu yeyote haijalishi anapitia changamoto gani katika maisha, lakini ahakikisha unanukia vizuri popote…

Continue ReadingTanasha Donna awapa somo mashabiki juu ya usafi
Read more about the article Tanasha akasirishwa na hatua ya label yake kuachia wimbo bila makubaliano

Tanasha akasirishwa na hatua ya label yake kuachia wimbo bila makubaliano

  • Post published:January 13, 2023

Msanii kutoka Kenya Tanasha Donna amechefukwa, ameamua kuichana Label yake kwa kile anachodai kwamba imeachia wimbo wake mpya bila ridhaa yake. Kupitia mfululizo wa Instastory zake kwenye mtandao wa Instagram…

Continue ReadingTanasha akasirishwa na hatua ya label yake kuachia wimbo bila makubaliano
Read more about the article Avril na Tanasha Donna wasikitishwa na kampuni ya ZUKU kukatiza huduma za mtandao bila ilani

Avril na Tanasha Donna wasikitishwa na kampuni ya ZUKU kukatiza huduma za mtandao bila ilani

  • Post published:January 9, 2023

Wasanii Avril na Tanasha Donna wameonesha ghadhabu zao kwa kampuni ya Zuku kutokana na huduma duni ya mtandao. Kupitia mitandao yao ya kijamii wasanii hao wawili wametoa malalamiko yao kwa…

Continue ReadingAvril na Tanasha Donna wasikitishwa na kampuni ya ZUKU kukatiza huduma za mtandao bila ilani
Read more about the article Tanasha Donna akutana na mwanamasumbwi maarufu Duniani Floyd Mayweather.

Tanasha Donna akutana na mwanamasumbwi maarufu Duniani Floyd Mayweather.

  • Post published:November 17, 2022

Staa wa muziki nchini, Tanasha Donna ambaye kwa sasa yupo Dubai, akiwa mjini humo amekutana na mwanamasumbwi maarufu Duniani toka nchini Marekani Floyd Mayweather. Tanasha Donna ambaye yupo Dubai kwa…

Continue ReadingTanasha Donna akutana na mwanamasumbwi maarufu Duniani Floyd Mayweather.
Read more about the article Tanasha ataka watu kufanya dua kwa ajili ya maandamano na kinachoendelea Iran

Tanasha ataka watu kufanya dua kwa ajili ya maandamano na kinachoendelea Iran

  • Post published:November 16, 2022

Msanii kutoka Kenya Tanasha Donna amesikitishwa na taarifa ya uongo ambayo inasambaa mtandaoni kuwa Iran imetoa hukumu ya kifo kwa takriban watu 15,000 walioandamana kufuatia kifo cha Mahza Amini, binti…

Continue ReadingTanasha ataka watu kufanya dua kwa ajili ya maandamano na kinachoendelea Iran
Read more about the article TANASHA AKANUSHA MADAI YA KUWAKIMBIA WAANDISHI WA HABARI

TANASHA AKANUSHA MADAI YA KUWAKIMBIA WAANDISHI WA HABARI

  • Post published:September 13, 2022

Msanii Tanasha Donna amekanusha madai yanayotembea mtandaoni kuwa ameanza kuwafungia vioo waandishi wa habari wanaotaka kufanya naye mahojiano kuhusu shughuli zake za kimuziki. Katika mahojiano na Mpasho, Tanasha amesema madai…

Continue ReadingTANASHA AKANUSHA MADAI YA KUWAKIMBIA WAANDISHI WA HABARI
Read more about the article TANASHA DONNA AWACHANA WANA BLOGU WA TANZANIA

TANASHA DONNA AWACHANA WANA BLOGU WA TANZANIA

  • Post published:September 7, 2022

Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, Tanasha Donna amechukizwa na Mablogger wanaotumia maudhui yenye utata kutoka kwa wasanii kuuza maudhui yao. Kupitia Insta Story Tanasha amesema kuna Blogger toka Tanzania alimuomba kufanya…

Continue ReadingTANASHA DONNA AWACHANA WANA BLOGU WA TANZANIA
Read more about the article TANASHA DONNA AWAJIA JUU WAANDAJI WA TUZO ZA KIMATAIFA

TANASHA DONNA AWAJIA JUU WAANDAJI WA TUZO ZA KIMATAIFA

  • Post published:September 1, 2022

Msanii wa kike nchini Tanasha Donna ameamua kuanika siri za tuzo za kimataifa akidai ni za kupangwa. Kupitia mfululizo ya posti zake kwenye mtandao wa Instagram (Instastory) amezituhumu tuzo hizo…

Continue ReadingTANASHA DONNA AWAJIA JUU WAANDAJI WA TUZO ZA KIMATAIFA
Read more about the article TANASHA DONNA ATHIBITISHA KUACHANA NA MPENZI WAKE MZUNGU

TANASHA DONNA ATHIBITISHA KUACHANA NA MPENZI WAKE MZUNGU

  • Post published:August 31, 2022

Msanii Tanasha Donna hatimaye amethibitisha kuwa yeye na mpenzi wake aliyekuwa akisemekana ni Mzungu wameachana. Kupitia Instagram live Tanasha amedai kuwa sababu ya kuachana kwao ni Usaliti ambapo amesema alichukizwa…

Continue ReadingTANASHA DONNA ATHIBITISHA KUACHANA NA MPENZI WAKE MZUNGU
Read more about the article TANASHA DONNA AFICHUA KUWA MTOTO WAKE HAJAWAHI KUTANA NA MAMA YAKE MZAZI

TANASHA DONNA AFICHUA KUWA MTOTO WAKE HAJAWAHI KUTANA NA MAMA YAKE MZAZI

  • Post published:July 15, 2022

Msanii Tanasha Donna amefunguka tusiyoyajua kuhusu mtoto wake Naseeb Junior ambaye alizaa na staa wa muziki wa Bongofleva Diamond Platnumz. Kupitia instagram live Tanasha amesema tangu mtoto wake huyo azaliwe…

Continue ReadingTANASHA DONNA AFICHUA KUWA MTOTO WAKE HAJAWAHI KUTANA NA MAMA YAKE MZAZI
  • 1
  • 2
  • Go to the next page
Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

Nicah The Queen afungua kesi dhidi ya Emma Jalamo

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Nicah the Queen ameamua kumchukulia hatua kali za kisheria msanii wa ohangala Emma Jalamo...

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

Amber Rose mbioni kuandika kitabu kuhusu dhuluma dhidi ya wanawake

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwanamitindo maarufu duniani Amber Rose ameibuka na kudai kuwa kuna unyanyasaji mkubwa sana wa wanawake lakini vyombo vya habari vimekuwa...

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

Bahati adokeza ujio wa kolabo yake na Harmonize

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Wakati bado Bahati anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya 'Nowe Sweety,' ameonyesha kuwa hataki kulaza damu kuhusu muziki,ameonekana ujio wa kazi...

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

Otile Brown atangaza ujio wake mpya 2023

by Elim Robert
January 28, 2023
0
WhatsApp Facebook Twitter Google+ Linked In Pinterest

Mwimbaji nyota wa kizazi kipya nchini Kenya, Otile Brown hataki kuwaacha mashabiki wake hivi hivi kabla mwezi huu haujaisha. Hii...

Load More

Categories

  • Entertainment
  • Gossip
  • LifeStyle
  • Others
  • Sports
  • Technology
  • Today in History

More about us

  • Become a contributor
  • Advertise with us
  • Categories
  • Contact
  • Privacy Policy
  • Terms and conditions

Social Media

Facebook Twitter Youtube
Copyright © 2023 Urban Spice | All rights reserved