You are currently viewing TANASHA DONNA MBIONI KUJA NA “THIS IS ME” EP

TANASHA DONNA MBIONI KUJA NA “THIS IS ME” EP

Nyota wa muziki nchini Tanasha Donna ametangaza kuachia EP yake mpya aliyoipa jina la “This is Me”

Kupitia Instagram Live mrembo huyo ameweka wazi kuwa November 12, mwaka huu ataachia wimbo wa kwanza utakaopatikana kwenye EP yake ambayo hajaweka wazi tarehe ya kutoka ila amesema kuwa itaitwa “This is Me“.

Lakini pia Tanasha amesema kuwa kupitia video hiyo ya wimbo wake wa kwanza kwenye EP amecheza sana kuliko kawaida na video ya wimbo huu imefanyika nchini Nigeria

Hii ni EP ya pili kwa mtu mzima Tanasha Donna tangu aingie kwenye soko la muziki Afrika mashariki baada ya EP yake ya kwanza Donna Tella kufanya vizuri.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke