You are currently viewing Travis Scott na Kylie Jenner kubadilisha jina la mtoto wao

Travis Scott na Kylie Jenner kubadilisha jina la mtoto wao

Rapa kutoka Marekani Travis Scott na Baby Mama wake Kylie Jenner wanapanga kubadilisha Jina la mtoto wao wa kiume (Wolf Webster), wawili hao wanajuta kumpatia Jina hilo mtoto huyo wa pili ambaye ana umri wa miezi 8 sasa.

Kwa mujibu wa Kylie kwenye Episode ya Keeping Up with The Kardashians, Jina hilo lilitolewa na Khloe Kardashian na kwa wakati huo alilipenda lakini punde tu baada ya kuliandika na kuangusha saini kwenye cheti cha Kuzaliwa, aliingia majuto ya kutamani kulibadilisha.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke