You are currently viewing TUNDAMAN AACHIA RASMI EP YAKE MPYA

TUNDAMAN AACHIA RASMI EP YAKE MPYA

Staa wa muziki wa bongofleva, msanii Tundaman ameachia Extended Playlist (EP) yake mpya inayokwenda kwa jina la “2022” yenye jumla ya ngoma saba.

Kwenye EP hiyo, Tundaman awameshirikisha wasanii kama Ali kiba, Chidibeenz , Nay wa Mitego, Darassa na Spack.

Ngoma zinazopatikana kwenye EP hiyo ni pamoja na “Badman”, “Kizaazaa”, “Mchawi Ndugu”, “Vita Ni Vita”, “Nimeahindwa”, “Sawa”, “Nipe Ripoti II” na  itapatikana exclusive kupitia Boomplay.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke