You are currently viewing UONGOZI WA TUZO ZA GRAMMY WATANGAZA TAREHE MPYA YA KUFANYIKA KWA TUZO HIZO KUBWA DUNIANI

UONGOZI WA TUZO ZA GRAMMY WATANGAZA TAREHE MPYA YA KUFANYIKA KWA TUZO HIZO KUBWA DUNIANI

Uongozi wa Tuzo za Grammy umetaja tarehe mpya ya kufanyika hafla ya ugawaji wa Tuzo hizo kwa mwaka 2022 ambapo sasa itafanyika April 3 katika ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas nchini Marekani.

Awali Tuzo hizo za 64 zilipangwa kufanyika January 31 lakini ziliahirishwa kufuatia tishio la kirusi cha Omicron.

Mshereheshaji wa Tuzo za mwaka huu alitajwa kuwa ni mchekeshaji maarufu wa Afrika Kusini, Trevor Noah.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke